evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,330
pretty sure,..haya ni strong as you think
pretty sure,..haya ni strong as you think
isee nimechekaMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
msamehe mkuu maana hajui hata hio tigo MUNGU ndo kaiunda sahiv anapiga mtetemo choonihahahhaha...ngoja umesahau 18- anauwezo wa kujamba pia
Hey,sorry for Interruption,But I've little question here,
How can demons able to prevent you from communicating with your own Omnipotent-God?
Kwa wasioelewa hizo zinaitwa " PREROGATIVE POWERS'' ambazo hata Tanzania kwa kuwa tilirithi legal system ya huko tunazo kwenye katiba angalau kwa uchache na ndizo hizo watu wasioelewa wanapiga kelele eti ....!!! power za Raisi zipunguzwe. kutakuwa na umuhimu heshima , na woga kwa raisi akiwa hana power za ziada tofauti na raia au viongozi wengine? Raisi ni symbol ya umoja, nguvu na mamlaka kwa watu wake, ni nabiii wa kutoa mwongozo sahihi kwa watu wake na ni alama ya kitisho kwa maadui wa nchi hivyo anatakiwa awe na nguvu za ziada.
Hahhaaha! mmeacha kula watu??? Aisee jamaa katisha,akija bongo atauliza mmeacha kung'oa watu meno na bisisi?Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Wakati wao ndio wafalme wa uchawi? Mi nadhani atawapongeza wafipa kwa teknolojia yao.
Akienda kutembelea sumbawanga apo ndo balaa sasa,usishangae kuuliza vp mmeacha uchawi.
Kwa yoooote hayawazungu wanaona sawa tu! Ila Mfalme muswati kuchuma katika himaya yake roho zinawauma!1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni
2.Husafiri bila passport nje ya nchi
3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully
4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.
5.Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela
6.Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria
7. Ana uwezo wa kutolipa kodi
8.Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha
9. Ni malkia wa Australia pia
10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.
11.Ni mwenyekiti wa kanisa la Anglikana
12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia
13. Anakinga ya kutoshitakiwa
14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames
15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake
ha ha ha wazungu nao waogaNdio huwa wanakula watu tena mifupa wanahifadhi kama ushahidi. Kuna mwingereza mmoja alikwenda huko baada ya kufika kijijini wakawaambia wasipoondoka mpaka asubuhi wanakuwa kitoweo.
Jamaa alitoka nduki
Who is patron?She is the devil's daughter. The matron of freemason in the world!
isee nimecheka
Mkuuu hiii vipi?tupe undaniLakini nasikia si alishawahi k.b.a.n.d.u.l.wa na Carlos.