Nguruwe azaliwa akiwa na kichwa cha binadamu

watu walivyo hojiwa kule musoma wamedai kwa mtu kuzaa kinyonga au mdudu mwingine si vitu vigeni..
mkuu, hayo mambo ya kawaida kabisa.
hapo kati Kigoma, watu wanaweza kuweka mimba pause, yani mkeo anapata mimba kipindi cha kilimo, unaweka pause hiyo mimba, anatumika shamba kwanza kwa miezi miwili mitatu halafu ndo unaiachia tena....kwa hiyo mama anakuwa na mimba ya miezi 12-13, kitu ya kawaida.

Au umeshasikia mimba inahamishwa?, anapata mimba mke wa jirani mpaka miezi sita saba au hata tisa, then mama anajifungua hewa tu!!, tumbo linaisha ghafla, mimba inahamia kwa mkeo!!!!
 
hili gazeti ni lini litaanza kuja na ajenda za kitaifa na utekelezaji wa kazi za serikali kila siku

cha kushangaza habari kama hii ndo inakua ukurasa wa mbele kama jana 'mwanamke ajifungua jiwe'

shame on you Mhariri Habari Leo
mkuu, hili gazeti ndo utaratibu wake siku hizi,
mara, oooh, mwanamke aoa wanaume wawili huko Mbeya, mara mwanamke kajifungua jiwe....
 
mkuu, hayo mambo ya kawaida kabisa.
hapo kati Kigoma, watu wanaweza kuweka mimba pause, yani mkeo anapata mimba kipindi cha kilimo, unaweka pause hiyo mimba, anatumika shamba kwanza kwa miezi miwili mitatu halafu ndo unaiachia tena....kwa hiyo mama anakuwa na mimba ya miezi 12-13, kitu ya kawaida.

Au umeshasikia mimba inahamishwa?, anapata mimba mke wa jirani mpaka miezi sita saba au hata tisa, then mama anajifungua hewa tu!!, tumbo linaisha ghafla, mimba inahamia kwa mkeo!!!!

Seriously Mkuu...... This is not Serious.....

Kuhusu hii habari nadhani hawa jamaa wamegundua njia ya kuongeza mauzo..

Genes za Nguruwe na binadamu ni tofauti sana kuwa na uwezekano wa cross breeding.., hili la jiwe sasa na wadudu nadhani its going a bit too far for speculation...

au mtu alipata funza kwenye kidole alivyotoka akadhani amezaa funza...
 
case kama hizo huwa zinasababishwa na

1. Partial/poor development ya kiumbe huko tumboni

2. Transplant au crossbreeding

kwenye masuala ya utafiti wa mbegu bora za wanyama, ni kawaida kupata questionable breeds or even worse than the pure breed. Lakini kwa kuwa ni utafiti basi huendelea na mazoezi yao hadi wanapopata matokeo ya kuridhisha yaliyo salama kijamii, kiafya na kimazingira.

Kama huyo nguruwe hakuwa kwenye majaribio yaliyo rasmi, inawezekana pia kuwa kuna binadamu alimpanda! Tabia ya binadamu kupanda wanyama wa kufugwa na ata wanyama mwitu inaelekea kuwa kama ugonjwa sasa, ziko shuhuda nyingi sana za namna hiyo na kuna wanaojisifu kwa idadi kubwa ya wanyama tofautitofauti waliokwishawapanda!

Niliwahi kuona mtu mmoja raia wa zimbabwe akijisifu kuwa kishafanya mapenzi na mbwa, nguruwe, mbuzi na kondoo na alikuwa mbioni kuwapanda ng'ombe na pundwa ila anapata shida kutokana na ukubwa wao na ukali wao!

Ndo dunia yetu ilikofika huko.

Wapendwa, shikeni sana mlivyo navyo, asije yule mwovu akazitwaa taji zenu

mbarikiwe sana

2.
Walakini kwa dakika moja, kufumba na kufumbua,
parapanda itakapolia, wafu watafufuliwa,
wasiwe na uharibifu, na sisi tutabadilika!

kiitikio
usijisifu, kwa ajli ya kesho,
kwa maana hujui,
yatakayotokea, kwa siku moja, lakiniiii

lakini mimi najua, mtetetezi wangu yu hai,
na ya kuwa hatimaye, atasimama juu ya nchi,
na baada ya ngozi yangu, kuharibiwa hivi,
lakini pasipokuwa na mwilli wangu, nitamuona mungu,
nami nitamuona, mimi nafsi yangu, na macho yangu yatamtzama,
wala si mwingine, ni yesu! X2

shurani za pekee:
kwaya ya chemichemi, unga ltd, arusha.
Wimbo: Walakini hamjui
albam: Kuna chemchem
ubarikiwe sana.
 
mkuu, hayo mambo ya kawaida kabisa.<br />
hapo kati Kigoma, watu wanaweza kuweka mimba <b>pause, </b>yani mkeo anapata mimba kipindi cha kilimo, unaweka pause hiyo mimba, anatumika shamba kwanza kwa miezi miwili mitatu halafu ndo unaiachia tena....kwa hiyo mama anakuwa na mimba ya miezi 12-13, kitu ya kawaida.<br />
<br />
Au umeshasikia mimba inahamishwa?, anapata mimba mke wa jirani mpaka miezi sita saba au hata tisa, then mama anajifungua hewa tu!!, tumbo linaisha ghafla, mimba inahamia kwa mkeo!!!!
<br />
<br />
Duh! Hiyo kali tunataka huyo mwenye hlo gazeti siku aandike mtu kaza tembo haf atupe ushahid
 
Na nimesikia tarehe 21 December 2012 ni mwisho wa this order according to the Mayan calendar. So towards 2012 intensity ya matatizo ya wanadamu itaongezeka sana.
<br />
<br />
Mmmmhh!! Na nimesikia muda c mrefu ya kwmb ni kule Bunda na madaktari wameshangazwa na hii wakati wa2 hapo palipo tukio wanasema hawajawahi kuona maaajabu km yale. Mi nasema maajabu bado yatakuja. Cku tu mmesikia ng'ombe kazaa binadamu na ndipo 2kumbuke maandiko yasemavyo. SIKU SI NYINGI ATARUDI MWANA WA ADAM!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Dunia ya zamani iliangamizwa kulikuwa na dhambu za kufa mtu sasa nyie mtu kazaa jiwe cjui nguruwe kaza mtu mnasema palapanda litalia hayo ni mambo ya ushirikina mdogo tu msiogope. Ngojeni siku mtoto akizaliwa leo kesho anadai mke aaah hapo sawa
<br />
<br />
mbona hayo ya mtoto nayo yanawezekana katika utafiti wa kisayansi? Angalia FRINGE utaona.
 
safi sana kumbe ilikuwa ni utafiti basi waendelee hivyo hivyo mwisho wa siku watakuja kucrossbreed nguruwe halafu atokee kiboko wameanza na kichwa cha mtu baadaye utasikia kichwa cha kiboko..

Hizo habari zenu za uongo kila siku zinatuchosha Mara Mwanamke kazaa Jiwe, Mbuzi anamaandishi ya Quan, Nguruwe kazaa Nguruwe mwenye kichwa cha Binaadamu. Huo wote ni uzushi usisokuwa na Ushahidi wowote. Hakuna kitu kama hicho cha kusema mnyama anaweza kufanya mbegu za binaadamu kumpa mimba. Uongo na unafiki. Siamini chochote mnachokizungumzia hapa zaidi ya kusukuma siku ipite, mwisho wake mtakuja na uongo wa kusema Nyoka kazaa na Binaadamu

nahisi mtakuwa hamjanielewa!

mbarikiwe wapendwa
 
habari leo wanasubiri kampeni zianze igunga ndio wawe na cha kuandika. nlishawasema sana kiasi kuwa hata nikitoa comment yoyote kwao hawaitoi hata kama naunga mkono habari waliochaåpisha, mhariri wake ni bonge la crap. huwa nawaona wanaosoma hili gazeti ni watu wa kijiweni na wazee wasiojua maana ya mabadiliko, wanaoliunga mkono nawaona hamnazo kabisa,sijui tutaendelea lini?? nguruwe kuzaa kichwa cha mtu inakuwaje? hata kigenetic mbegu za binadamu haziwezi kuingiliana na yai la nguruwe kiumbe kipatikane,labda uchawiiiiiiii huo kama upo
 
safi sana kumbe ilikuwa ni utafiti basi waendelee hivyo hivyo mwisho wa siku watakuja kucrossbreed nguruwe halafu atokee kiboko wameanza na kichwa cha mtu baadaye utasikia kichwa cha kiboko..

Seriously Mkuu...... This is not Serious.....

Kuhusu hii habari nadhani hawa jamaa wamegundua njia ya kuongeza mauzo..

Genes za Nguruwe na binadamu ni tofauti sana kuwa na uwezekano wa cross breeding.., hili la jiwe sasa na wadudu nadhani its going a bit too far for speculation...

au mtu alipata funza kwenye kidole alivyotoka akadhani amezaa funza...

ni kweli kabisa mpendwani tofauti sana.

kwa kuhusisha crossbreeding nilikuwa najitahidi kuonyesha kuwa kama wangekuwa katika utafiti, kungekuwa na uwezekano wa crossbreeding kuleta matokeo hayo. na si lazima iwe cross breedig ya mtu na nguruwe, inawezekana kuwa ni kati ya aina moja ya nguruwe na nyingine au hata kwa kuhusisha vinasaba vya nguruwe haohao vilivyobadilishwa maumbile! ikitokea incident ya partial/poor development inaweza kabisa kuleta matokeo ya kustaajabisha! na hapo hatujazingatia evolutionary tendencies!

lakini pia kuna tatizo la hisia kila linapojitokeza jambo ambalo si la kawaida au geni machoni mwa watu. mfano kuna wakati kulikuwa na hofu ya vidudu mtu kwenye zao la mihogo. ilisemekana kwamba kuna wadudu wenye sura kama za wattu wanashambulia mihogo. lakini pamoja na jina hilo kushamiri hadi leo, wadudu wale wala hawakuwa na sura za watu! ni wadudu wanaojulikana kisayansi na wanadhibitika. in the same way, inawezekana hao waliosema ni kichwa cha mtu inawezekana wala siyo kama cha mtu, ila kwa sababu ya hisia zao wameli-name hivyo hilo tukio!

nadhani huyo nguruwe (pamoja na mama yake) anatakiwa kufanyiwa uchunguzi wa kina wa kisayansi kabla ya hitimisho lolote!

ubarikiwe sana mpendwa
 
Kisayansi hii tunaiita 'mutation'. Hivi na nyangumi naye inakuwaje? Binadamu tungekuwa wakumgeukia Mungu kutokana na miujiza toka mwanzo dunia mbona miujiza na maajabu vipo? Shame upon us. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Back
Top Bottom