Nguruwe azaliwa akiwa na kichwa cha binadamu

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
nimesikia habari magazetini kupitia tbc1 kuwa nguruwe amezaliwa akiwa na kichwa cha binadamu..source habari leo
 
ni jana tu tumesikia mtu kajifungua jiwe baada ya mimba ya miezi 11..
 
ni jana tu tumesikia mtu kajifungua jiwe baada ya mimba ya miezi 11..
<br />
<br />
Mmmmhh!! Na nimesikia muda c mrefu ya kwmb ni kule Bunda na madaktari wameshangazwa na hii wakati wa2 hapo palipo tukio wanasema hawajawahi kuona maaajabu km yale. Mi nasema maajabu bado yatakuja. Cku tu mmesikia ng'ombe kazaa binadamu na ndipo 2kumbuke maandiko yasemavyo. SIKU SI NYINGI ATARUDI MWANA WA ADAM!
 
case kama hizo huwa zinasababishwa na

1. partial/poor development ya kiumbe huko tumboni

2. transplant au crossbreeding

kwenye masuala ya utafiti wa mbegu bora za wanyama, ni kawaida kupata questionable breeds or even worse than the pure breed. lakini kwa kuwa ni utafiti basi huendelea na mazoezi yao hadi wanapopata matokeo ya kuridhisha yaliyo salama kijamii, kiafya na kimazingira.

kama huyo nguruwe hakuwa kwenye majaribio yaliyo rasmi, inawezekana pia kuwa kuna binadamu alimpanda! tabia ya binadamu kupanda wanyama wa kufugwa na ata wanyama mwitu inaelekea kuwa kama ugonjwa sasa, ziko shuhuda nyingi sana za namna hiyo na kuna wanaojisifu kwa idadi kubwa ya wanyama tofautitofauti waliokwishawapanda!

niliwahi kuona mtu mmoja raia wa zimbabwe akijisifu kuwa kishafanya mapenzi na mbwa, nguruwe, mbuzi na kondoo na alikuwa mbioni kuwapanda ng'ombe na pundwa ila anapata shida kutokana na ukubwa wao na ukali wao!

ndo dunia yetu ilikofika huko.

wapendwa, shikeni sana mlivyo navyo, asije yule mwovu akazitwaa taji zenu

mbarikiwe sana

2.
walakini kwa dakika moja, kufumba na kufumbua,
parapanda itakapolia, wafu watafufuliwa,
wasiwe na uharibifu, na sisi tutabadilika!

kiitikio
usijisifu, kwa ajli ya kesho,
kwa maana hujui,
yatakayotokea, kwa siku moja, lakiniiii

lakini mimi najua, Mtetetezi wangu yu hai,
na ya kuwa hatimaye, atasimama juu ya nchi,
na baada ya ngozi yangu, kuharibiwa hivi,
lakini pasipokuwa na mwilli wangu, nitamuona Mungu,
nami nitamuona, mimi nafsi yangu, na macho yangu yatamtzama,
wala si mwingine, ni Yesu! X2

shurani za pekee:
kwaya ya Chemichemi, Unga Ltd, arusha.
wimbo: WALAKINI HAMJUI
Albam: KUNA CHEMCHEM
 
safi sana kumbe ilikuwa ni utafiti basi waendelee hivyo hivyo mwisho wa siku watakuja kucrossbreed nguruwe halafu atokee kiboko wameanza na kichwa cha mtu baadaye utasikia kichwa cha kiboko..
 
Now seriously im going back to my god &quot;lol parapanda ndo linaandaliwa kupulizwa khaaaaa
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mmmmhh!! Na nimesikia muda c mrefu ya kwmb ni kule Bunda na madaktari wameshangazwa na hii wakati wa2 hapo palipo tukio wanasema hawajawahi kuona maaajabu km yale. Mi nasema maajabu bado yatakuja. Cku tu mmesikia ng'ombe kazaa binadamu na ndipo 2kumbuke maandiko yasemavyo. SIKU SI NYINGI ATARUDI MWANA WA ADAM!
<br />
<br />
Dunia ya zamani iliangamizwa kulikuwa na dhambu za kufa mtu sasa nyie mtu kazaa jiwe cjui nguruwe kaza mtu mnasema palapanda litalia hayo ni mambo ya ushirikina mdogo tu msiogope. Ngojeni siku mtoto akizaliwa leo kesho anadai mke aaah hapo sawa
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Dunia ya zamani iliangamizwa kulikuwa na dhambu za kufa mtu sasa nyie mtu kazaa jiwe cjui nguruwe kaza mtu mnasema palapanda litalia hayo ni mambo ya ushirikina mdogo tu msiogope. Ngojeni siku mtoto akizaliwa leo kesho anadai mke aaah hapo sawa
watu walivyo hojiwa kule musoma wamedai kwa mtu kuzaa kinyonga au mdudu mwingine si vitu vigeni..
 
case kama hizo huwa zinasababishwa na

1. partial/poor development ya kiumbe huko tumboni

2. transplant au crossbreeding

kwenye masuala ya utafiti wa mbegu bora za wanyama, ni kawaida kupata questionable breeds or even worse than the pure breed. lakini kwa kuwa ni utafiti basi huendelea na mazoezi yao hadi wanapopata matokeo ya kuridhisha yaliyo salama kijamii, kiafya na kimazingira.

kama huyo nguruwe hakuwa kwenye majaribio yaliyo rasmi, inawezekana pia kuwa kuna binadamu alimpanda! tabia ya binadamu kupanda wanyama wa kufugwa na ata wanyama mwitu inaelekea kuwa kama ugonjwa sasa, ziko shuhuda nyingi sana za namna hiyo na kuna wanaojisifu kwa idadi kubwa ya wanyama tofautitofauti waliokwishawapanda!

niliwahi kuona mtu mmoja raia wa zimbabwe akijisifu kuwa kishafanya mapenzi na mbwa, nguruwe, mbuzi na kondoo na alikuwa mbioni kuwapanda ng'ombe na pundwa ila anapata shida kutokana na ukubwa wao na ukali wao!

ndo dunia yetu ilikofika huko.

wapendwa, shikeni sana mlivyo navyo, asije yule mwovu akazitwaa taji zenu

mbarikiwe sana

2.
walakini kwa dakika moja, kufumba na kufumbua,
parapanda itakapolia, wafu watafufuliwa,
wasiwe na uharibifu, na sisi tutabadilika!

kiitikio
usijisifu, kwa ajli ya kesho,
kwa maana hujui,
yatakayotokea, kwa siku moja, lakiniiii

lakini mimi najua, Mtetetezi wangu yu hai,
na ya kuwa hatimaye, atasimama juu ya nchi,
na baada ya ngozi yangu, kuharibiwa hivi,
lakini pasipokuwa na mwilli wangu, nitamuona Mungu,
nami nitamuona, mimi nafsi yangu, na macho yangu yatamtzama,
wala si mwingine, ni Yesu! X2

shurani za pekee:
kwaya ya Chemichemi, Unga Ltd, arusha.
wimbo: WALAKINI HAMJUI
Albam: KUNA CHEMCHEM

Big Up
 
Hizo habari zenu za uongo kila siku zinatuchosha Mara Mwanamke kazaa Jiwe, Mbuzi anamaandishi ya Quan, Nguruwe kazaa Nguruwe mwenye kichwa cha Binaadamu. Huo wote ni uzushi usisokuwa na Ushahidi wowote. Hakuna kitu kama hicho cha kusema mnyama anaweza kufanya mbegu za binaadamu kumpa mimba. Uongo na unafiki. Siamini chochote mnachokizungumzia hapa zaidi ya kusukuma siku ipite, mwisho wake mtakuja na uongo wa kusema Nyoka kazaa na Binaadamu
 
hili gazeti ni lini litaanza kuja na ajenda za kitaifa na utekelezaji wa kazi za serikali kila siku

cha kushangaza habari kama hii ndo inakua ukurasa wa mbele kama jana 'mwanamke ajifungua jiwe'

shame on you Mhariri Habari Leo
 
Back
Top Bottom