nimesikia habari magazetini kupitia tbc1 kuwa nguruwe amezaliwa akiwa na kichwa cha binadamu..source habari leo
<br />ni jana tu tumesikia mtu kajifungua jiwe baada ya mimba ya miezi 11..
shika adabu yakoWyne Rooney
Nilidhani amezaliwa na kuran ubavuni
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mmmmhh!! Na nimesikia muda c mrefu ya kwmb ni kule Bunda na madaktari wameshangazwa na hii wakati wa2 hapo palipo tukio wanasema hawajawahi kuona maaajabu km yale. Mi nasema maajabu bado yatakuja. Cku tu mmesikia ng'ombe kazaa binadamu na ndipo 2kumbuke maandiko yasemavyo. SIKU SI NYINGI ATARUDI MWANA WA ADAM!
watu walivyo hojiwa kule musoma wamedai kwa mtu kuzaa kinyonga au mdudu mwingine si vitu vigeni..<br /><br />
<br /><br />
Dunia ya zamani iliangamizwa kulikuwa na dhambu za kufa mtu sasa nyie mtu kazaa jiwe cjui nguruwe kaza mtu mnasema palapanda litalia hayo ni mambo ya ushirikina mdogo tu msiogope. Ngojeni siku mtoto akizaliwa leo kesho anadai mke aaah hapo sawa
case kama hizo huwa zinasababishwa na
1. partial/poor development ya kiumbe huko tumboni
2. transplant au crossbreeding
kwenye masuala ya utafiti wa mbegu bora za wanyama, ni kawaida kupata questionable breeds or even worse than the pure breed. lakini kwa kuwa ni utafiti basi huendelea na mazoezi yao hadi wanapopata matokeo ya kuridhisha yaliyo salama kijamii, kiafya na kimazingira.
kama huyo nguruwe hakuwa kwenye majaribio yaliyo rasmi, inawezekana pia kuwa kuna binadamu alimpanda! tabia ya binadamu kupanda wanyama wa kufugwa na ata wanyama mwitu inaelekea kuwa kama ugonjwa sasa, ziko shuhuda nyingi sana za namna hiyo na kuna wanaojisifu kwa idadi kubwa ya wanyama tofautitofauti waliokwishawapanda!
niliwahi kuona mtu mmoja raia wa zimbabwe akijisifu kuwa kishafanya mapenzi na mbwa, nguruwe, mbuzi na kondoo na alikuwa mbioni kuwapanda ng'ombe na pundwa ila anapata shida kutokana na ukubwa wao na ukali wao!
ndo dunia yetu ilikofika huko.
wapendwa, shikeni sana mlivyo navyo, asije yule mwovu akazitwaa taji zenu
mbarikiwe sana
2.
walakini kwa dakika moja, kufumba na kufumbua,
parapanda itakapolia, wafu watafufuliwa,
wasiwe na uharibifu, na sisi tutabadilika!
kiitikio
usijisifu, kwa ajli ya kesho,
kwa maana hujui,
yatakayotokea, kwa siku moja, lakiniiii
lakini mimi najua, Mtetetezi wangu yu hai,
na ya kuwa hatimaye, atasimama juu ya nchi,
na baada ya ngozi yangu, kuharibiwa hivi,
lakini pasipokuwa na mwilli wangu, nitamuona Mungu,
nami nitamuona, mimi nafsi yangu, na macho yangu yatamtzama,
wala si mwingine, ni Yesu! X2
shurani za pekee:
kwaya ya Chemichemi, Unga Ltd, arusha.
wimbo: WALAKINI HAMJUI
Albam: KUNA CHEMCHEM