Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Just like my husband.Mimi
sina hayo matatizo kwakuwa za mpenzi wangu nanunua mimi mwenyewe so i
can go for my favourite colors and designs.
Just like my husband.Mimi
sina hayo matatizo kwakuwa za mpenzi wangu nanunua mimi mwenyewe so i
can go for my favourite colors and designs.
mia napenda sana avae yenye mchanganyiko wa wangi za bendera ya taifa.
Afu belt lake liwe blood red.
Eti eee,Mx
Fazaa aisee mimi niseme kweli kabisa, naamini rangi ya chupi kwa mwanamke ya matter.... Sielewi swagger zenu wakati kwa kutaka kufanya tendo lipo vipi..... Kuna njia tofauti za kufanya mapenzi tokana na mazingira, hamasa, ugongo na the like....
Sasa Fazaa as a woman nimegundua kua labda mume wangu ana tension fulani na najua kua good sex ita relieve some of the stress, naamua kuvaa kitu sexy (cha chumbani) kama lingerie nyepu au nyekudu..... Hio hamasa atazopata nikiingia na swagger ni sawa na nikiingia tu namchupi wa dark blue wala hauna mvuto wowote? SIAMINI.... Wapo wanaojali rangi ya chupi na it matters kabisa! labda kama wewe Fazaa siku zoote wamparamia tu mke/mpenzio....:A S embarassed:
- Mmepanga na kufunga safari mnaenda kubanjua.
- Mnajikuta hamu yaja tu kwamba ghafla woote ama mmoja wao ahitahi kwa nguvu na haraka iwezekanavo.
- Mnaandaa maeneo hasa kama ni speacial occassion (kama anniversaries, birthdays, valentine ama tu mwaamua siku hio iwe speacial ikiwa imeambatana na mazingira hamasishi kama music, candle light, good smell, snacks, - yaani mmeamua kuspend labda the weekend humo chumbani)
- Usiku tu mmeamka na mna midadi.....
Habari Zenu wana MMU!!nimeona leo nizame pande hizi kwanza tujuzane maujanja ya Mahusiano cunajua tena mapenzi yana kimbiza dunia...au sio?..sema ndiyo basiii....!hata kujibu shida kah!haya bwana I hope kuna baadhi yetu tunawapenzi na wachumba hata wake piya mnao hata wanaume zenu japo wengi wana Jf wameweka wako Singre..leo nataka tuongee kitu kimoja..Wapendanao wengi hukerwa na rangi za ndani za wapendwa wao but huwa wanashindwa kuwaambia aina ya rangi ambazo wangependa zivaliwe na Wapenzi wao..vipi wewe wakwako unajua rangi uipendayo?..na wewe wajua apendayo?..hebu funguka basi rangi hiyo...ma side na penda Mpenzi wangu akivaa chupi ya rangi ya Pink na Nyeupe...rangi hizo nazipenda sana...Mx
white na pink also black zinabamba...pia hutegemea na aina
Kongosho mia napenda sana avae yenye mchanganyiko wa wangi za bendera ya taifa. Afu belt lake liwe blood red.[/QUOTE said:Kongosho nakufurahia mara nyingi hunipa sababu ya kucheka au kutabasamu.
wakwangu mi napenda avae pensi tena yale mapensi makubwa
Nyeupe utamfulia?
Au unapenda zinavyong'aa tu bila kujua zinahitaji usafi wa hali ya juu?