sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Rejao anadeka sana bana.Ha haha,
hata wewe wataka?
Haya pole!
Rejao anadeka sana bana.Ha haha,
hata wewe wataka?
Haya pole!
Tutaendelea kumwombea...mpe pole sana. kwa sasa anasumbuliwa na nini?Ha ha ha!... Nimechelewa kupata taarifa zako, wewe mwenyewe wajua zingenifikia mapema ningekuanzishia...afu mgonjwa wangu bado afya haijakuwa nzuri, ongezeni kumwombea..
hahaha lol..ningeazishiwa hiyo thread watu wangechekelea badala ya kusikitika...haswa watu wangu wa kule kwenye polotikiHa haha,
hata wewe wataka?
Haya pole!
mi bado sijakuelewa...Mie nimeamua kueleweka
Si unaona navyojiweka wazi??
:A S-confused1::sick::A S 20:Rejao anadeka sana bana.
Mmmh!may be ningejua umri wenu,jinsia yako na staji ya huo uhusiano ningeweza kusema chochote coz naona imekaa kipyupil sn!
Marayamwisho kunipigia simu aliniuliza nilipo, nikamwambia nipo napata dinner hotelin, akakasirika eti kwanin sikumkaribisha ajiunge nami, jana tena kanipigia na kuniuliza nafanyann, nikamwambia naenda kuoga na kumkaribisha aungane namimi, lakini amechukia tena.....
Kuna mwanajamvi mmoja humu alisema kuwa mtu mke usitake kumuelewa (kwakuwa haeleweki )we mpende tu.
naomba nkushrikishe katika kukubaliana na mwanajamvi(jna lake limentoka)