chitalula
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,302
- 415
picha hizi zikionyesha ng'ombe wa wafugaji wakiwa wamepigwa risasi na maaskari wa wanyama pori katika mbuga ya mikumi
Baadhi ya ng'ombe walifariki baada ya muda kidogo kupita kutokana na majeraha hayo
My Take;
Sijapata sababu hasa ya kwa nini maaskari hao wamechukua hatua hiyo ila
hata kama wafugaji hawa walikosea kwa kuingiza mifugo sehemu ya hifadhi, kisheria naona sio sahihi kwa askari hao kufanya walivyofanya, kwani pia ni kinyume cha haki za wanyama.
Hata mambo yasiyohitaji fedha yanatushinda, mengine yanahitaji utashi tu wakisiasa, sitashangaa wakurugenzi wa mbuga hizi watakapowapongeza askari kwa watakao uita ushujaa waliofanya kwani hii nchi sasa inatetea ujinga mtupu.
Nategemea watu wanaohusika na haki za mifugo wachukue hatua dhidi ya kitendo hiki cha kinyama kabisa
Baadhi ya ng'ombe walifariki baada ya muda kidogo kupita kutokana na majeraha hayo
My Take;
Sijapata sababu hasa ya kwa nini maaskari hao wamechukua hatua hiyo ila
hata kama wafugaji hawa walikosea kwa kuingiza mifugo sehemu ya hifadhi, kisheria naona sio sahihi kwa askari hao kufanya walivyofanya, kwani pia ni kinyume cha haki za wanyama.
Hata mambo yasiyohitaji fedha yanatushinda, mengine yanahitaji utashi tu wakisiasa, sitashangaa wakurugenzi wa mbuga hizi watakapowapongeza askari kwa watakao uita ushujaa waliofanya kwani hii nchi sasa inatetea ujinga mtupu.
Nategemea watu wanaohusika na haki za mifugo wachukue hatua dhidi ya kitendo hiki cha kinyama kabisa