CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Jamani, naombeni msaada wenu.
Natafuta ng'ombe wa maziwa wa kisasa, kama wale wanaopatikana Iringa (ASAS Dairy products).Nitawapata wapi huko Mbeya, Iringa, Kilimanjaro, Arusha n.k.
Naomba contacts.
Nahitaji wanaotoa at least lita 20 kwa siku.
Nataka wenye mimba ya kuanzia miezi mitano hadi sita.
Nimetafuta sana bila mafanikio!
Wafugaji wengine wananiuzia ng'ombe waliochoka (ng'ombe anatoa lita 3-4 kwa siku?)
Na serikali nayo kimeo, nilishaweka oda ya ng'ombe (hybrid) huko Nanyumbu wanasema oda ya mtu inaeza kuchukua hata miaka miwili na pia unaweza kupata idadi chini ya ile uliyoomba. Nonsense!
Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani.
Natafuta ng'ombe wa maziwa wa kisasa, kama wale wanaopatikana Iringa (ASAS Dairy products).Nitawapata wapi huko Mbeya, Iringa, Kilimanjaro, Arusha n.k.
Naomba contacts.
Nahitaji wanaotoa at least lita 20 kwa siku.
Nataka wenye mimba ya kuanzia miezi mitano hadi sita.
Nimetafuta sana bila mafanikio!
Wafugaji wengine wananiuzia ng'ombe waliochoka (ng'ombe anatoa lita 3-4 kwa siku?)
Na serikali nayo kimeo, nilishaweka oda ya ng'ombe (hybrid) huko Nanyumbu wanasema oda ya mtu inaeza kuchukua hata miaka miwili na pia unaweza kupata idadi chini ya ile uliyoomba. Nonsense!
Naomba msaada wenu.
Natanguliza shukrani.