CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Hi, ladies and gents!
Habari zenu?
Naombeni mnisaidie - nitapata wapi ng'ombe bora wa maziwa (ng'ombe wa kisasa)?
Nilishawahi kusikia sikia kuwa kuna mahali naweza kupata ng'ombe ambaye/ ambao wana mimba ambao wanatarajia kuzaa ndani ya miezi miwili/ mitatu.
Sitaki kununua ng'ombe ambaye ametumika!
Sitaki kununua ng'ombe mdogo a.k.a ndama, ambaye atanichukulia muda wangu mwingi na gharama kubwa hadi kufikia kumfaidi!
Naomba msaada wenu wadau.
Mnipatie contacts na maelekezo yanayoweza kunisaidia.
Thank you in advance.
I remain.
Dr. Mbale (a.k.a Dr. Ernesto Che Guevara-II)
Habari zenu?
Naombeni mnisaidie - nitapata wapi ng'ombe bora wa maziwa (ng'ombe wa kisasa)?
Nilishawahi kusikia sikia kuwa kuna mahali naweza kupata ng'ombe ambaye/ ambao wana mimba ambao wanatarajia kuzaa ndani ya miezi miwili/ mitatu.
Sitaki kununua ng'ombe ambaye ametumika!
Sitaki kununua ng'ombe mdogo a.k.a ndama, ambaye atanichukulia muda wangu mwingi na gharama kubwa hadi kufikia kumfaidi!
Naomba msaada wenu wadau.
Mnipatie contacts na maelekezo yanayoweza kunisaidia.
Thank you in advance.
I remain.
Dr. Mbale (a.k.a Dr. Ernesto Che Guevara-II)