BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Kuna habari ambazo hazijathibitishwa ambazo zinasema kwamba 'Mwekezaji wa Kimarekani" ameamuru ng'ombe wauawe na Land Cruiser huko Sengerema hatima yake ndiyo hao ng'ombe 65 kuuawawa. Kama kuna yeyote ambaye ana habari hizi azimwage hapa ukumbini.