Ng'ombe 20 wamekufa baada ya kula majani iliyopigwa dawa na mwekezaji mmoja wilayani Monduli, pia watu zaidi ya 38 wamelazwa ktk hospital ya wilaya baada ya kula nyama ya ng'ombe hao, wanyamapori pia wameripotiwa kufa, pls wadau mtupe habari zaidi kwa mliopo maeneo hayo. Source ITV-taarifa ya habari