Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Jana tumetangaziwa hapa Botswana kuwa Ng'ombe 20 mali ya rais wa Jamuhuri ya Tanzania zitaondoka leo kuelekea Tanzania,Rais Kikwete alinunua NG'Ombe 10 alipokuja hapa mwezi wa tatu kushiriki sherehe ya miaka 50 ya chama tawala,ng'ombe wengine 10 alipewa zawadi na Rais Khama wa Botswana,imebidi taarifa itolewe kwenye vyombo vya habari ili wananchi waweze kuelewa nini kinaendelea kwenye tukio zima,Rais Khama ametoa maelezo yake kuwa ng'ombe wake aliotoa zawadi ni mali yake aliyoachiwa urithi na wazazi wake,tunafurahi sana kuona viongozi wetu wa africa wakiweka wazi mambo yote yanayowahusu ili kuondoa matatizo ya kutiliwa shaka