bwanaharusi
Member
- Jun 5, 2011
- 47
- 18
Hivi utaratibu wa kupima ngoma unakuwaje?
Tunaambiwa kabla hatujaoooa inabidi kupima sasa protokali inasemaje?
hospitali zipi poa
na je utaratibu wa kuchakachua (kama sababu zipo) ukoje?
Tunaambiwa kabla hatujaoooa inabidi kupima sasa protokali inasemaje?
hospitali zipi poa
na je utaratibu wa kuchakachua (kama sababu zipo) ukoje?