NGOMA ZETU: Mchiriku jamani, balaa......

Wakuu mmenikumbusha mbali sana late 80 na 90'
Kuna Askari alikuwa anaitwa mkapa sharp na alikuwa na kundi lake la Salama Stars, hapo unanikumbusha mambo ya Wamizoga, Muddy Guy, Sure, na sio Siri hivyo vikundi ndio ulkuwa mwanzo wa KIBOKO MSHERI, KOMANDOO YOSO, NK
mwisho wa ilikuwa ni Topaz
tulikuwa maskani
maskani kwa makuka
kukaa kidogo kaja mtu
kaja anatuuliza
eti kipaka kafa saa ngapi
watu wote tukashangaa
tulikuwa hatuna habari

HIVI KWELI MINANDA KAMA HIYO BADO HIPO KWELI?, UKIMTOA DOGO MFAUME

mkuu ulivyomtaja mkama sharp umenikumbusha askari mmoja wa kuitwa JITI LA MUHOGO huyo askari alikuwa mikosi sana na watoto wa mbwa uswahilini walikuwa wanamhara...hapo umenipeleka mpaka kinondoni manyanya maeneo ya msufini kwa nunda msumbufu na muhuni wa miaka hiyo marehemu HASHIM KATOBO!
 
Wakuu mmenikumbusha mbali sana late 80 na 90'
Kuna Askari alikuwa anaitwa mkapa sharp na alikuwa na kundi lake la Salama Stars, hapo unanikumbusha mambo ya Wamizoga, Muddy Guy, Sure, na sio Siri hivyo vikundi ndio ulkuwa mwanzo wa KIBOKO MSHERI, KOMANDOO YOSO, NK
mwisho wa ilikuwa ni Topaz
tulikuwa maskani
maskani kwa makuka
kukaa kidogo kaja mtu
kaja anatuuliza
eti kipaka kafa saa ngapi
watu wote tukashangaa
tulikuwa hatuna habari

HIVI KWELI MINANDA KAMA HIYO BADO HIPO KWELI?, UKIMTOA DOGO MFAUME

kama minanda yenyewe ndio hiyo hapo juu bora t5ucheze kiduku tu,maana yale mambo ya sure anavuta bangi sure,sure anakunywa gongo sure hayachezwi na mauno ni mwendo fulani hivi hahahahahaa.,namkumbuka mwalimu wangu wa shule ya msingi alikuwa Älbino analewa gongo huyo halafu anapenda mchiriku,sasa wanafunzi wakimuona wanamwambia rudi nyumbani bwana anasema siondoki mpaka ipigwe sure hahahahahah kula senks hapo umenikumbusha kmbali sana:clap2:
 
ama kweli wee mwisho
izi zamani hazitajirudia tena,nimemiss saaaaaaaaaaana kiwalani bom-bom
kijiwe-samli haki ya nani

ngoma nazipenda mbaya!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom