myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 615
- 234
Wakuu mmenikumbusha mbali sana late 80 na 90'
Kuna Askari alikuwa anaitwa mkapa sharp na alikuwa na kundi lake la Salama Stars, hapo unanikumbusha mambo ya Wamizoga, Muddy Guy, Sure, na sio Siri hivyo vikundi ndio ulkuwa mwanzo wa KIBOKO MSHERI, KOMANDOO YOSO, NK
mwisho wa ilikuwa ni Topaz
tulikuwa maskani
maskani kwa makuka
kukaa kidogo kaja mtu
kaja anatuuliza
eti kipaka kafa saa ngapi
watu wote tukashangaa
tulikuwa hatuna habari
HIVI KWELI MINANDA KAMA HIYO BADO HIPO KWELI?, UKIMTOA DOGO MFAUME
mkuu ulivyomtaja mkama sharp umenikumbusha askari mmoja wa kuitwa JITI LA MUHOGO huyo askari alikuwa mikosi sana na watoto wa mbwa uswahilini walikuwa wanamhara...hapo umenipeleka mpaka kinondoni manyanya maeneo ya msufini kwa nunda msumbufu na muhuni wa miaka hiyo marehemu HASHIM KATOBO!