Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Walisema wahenga 'ngoma inogile' na 'asiye na mwana aeleke jiwe'. Ooo wadiba eee, mwanangu leo kapika kisamvu! Mambo ya ukwereni hayo, wewe utayaweza!. Sasa wadau wenzangu wanajf ishu iko hivi: kuna umuhimu sana wa kutakiana kila la heri na afya njema hapa jf, na mimi kwa kuanzia namuwish good health JK, kwani kuna ubaya jamani?