slumdweller
Member
- Aug 1, 2011
- 46
- 5
jamani kwema lkn,nimetokea utambulisho kuna jamaa akanambia nije na huku,so ndo nimekuja kucheck nn kinaendelea humu.asanten bandugu!!!!
singleupo single au duble duble......?
hahahaha......... Preta!upo single au duble duble......?
hahahaha......... Preta!
thanx all,vp mbona ruttashobolwa umecheka hivyo?Preta c kauliza na anapaswa kujibiwa au...
ooh yeah....fresh meat in da house......
Nimefurahishwa na maswali yake yaliyo jaa confidence na majibu yako! Karibu sanaa mkuu am happy
yeahhhh this is warm welcome,nimeipenda hii hahaahaa
Mkuu slumdweller karibu.
Humu CC kuna sifa hizi.
1. Hatuna stress na maisha ya mtandaoni yaani 'Le Publicale' wala kule majumbani.
2. Kuna ada ya kiingilio.
Na mimi ndie mpokeaji wa pesa,ni PM ujue jinsi ya kutuma.
ruttashobolwa unafanya nini?
Tangu tufunge ndoa hujawah kunisifia kama unavyomsifia Preta.
Haya leo nenda kalale huko huko kwa Preta.
Ukishapokea tukutane kesho maana mi ndo mweka hazina.
Ukishapokea tukutane kesho maana mi ndo mweka hazina.
slumdweller...unatokea slum gani??!