Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
habari zenu jamani am a mama aged 33 naomba nafasi kuwa mwenzenu humu.
With Lots of love and appriciation. Thanxxxxxxxx.
With Lots of love and appriciation. Thanxxxxxxxx.
habari zenu jamani am a mama aged 33 naomba nafasi kuwa mwenzenu humu.
With Lots of love and appriciation. Thanxxxxxxxx.
Karibu sana JF.
Hahahaaa wamebanwa na majukwaa mengine naomba kuwawakilishaAsante sana Erick. Mmmh naona watu wamegoma kunikaribisha sijui ni kwa sababu ya Mfumuko wa bei. Hahaha any way ntaingia hivyohivyo, hata msiponiuliza narudi lini kijijini.