Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kuna tetesi kuwa waziri wa nishati na madini yuko Canada kwa ziara ya kikazi, ambako pamoja na mambo mengine anatarajiwa kukutana na washiriki muimu katika sakata la Dowans, kuweka sawa mambo fulani fulani, kwa lengo la kusawazisha njia kwaajili ya malipo kwa kampuni hiyo. Itakumbukwa hata kabla ya Dowans kuridhi mkataba huo kutoka kwa Richmond, waziri aliyekuwa na dhamana ya madini na nishati, Nadhir karamagi alifanya ziara kama hiyo hiyo kuweka mambo sawa. Habari hii naitoa kama tetesi kama kuna mtu anazo habari zaidi atujuze.