Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
Si watanzania tunakumbuka takriban miaka miwili imepita tangia Njereja alipomfukuzisha kazi messenge wa kibanda cha ITM. Alimjibu kinyama na kumuuliza"unajua unaongea na nani hapa? Halafu kwa dhalau akwapigia simu mabosi wa messenge na kulalamika kuwa kijana hana nidhamu! Kijana kafukuzwa kazi na kubakia akilia mitaani kwa kutotendewa haki akiwa kazini. Leo mungu anajibu kwa ngereja. Hii skando ya ruhswa ni an act of god to have ngereja walk out of office with dignity! Wamarekani husema, things goes around the way the came around! Yaani muwosha huoshwa! Ngereja hapo huchomoi!