Hivi ule umeme uliopita kwa kakobe hauwaki sio??ulivyomlaghai kakobe ukasubiri amepanda madhabahuni ukawaita waandishi na kuwapa bahasha ndo linalokutokea puani. sasa wanajamii humu ni hivi waya za umeme zimepita pale kwa kakobe lakini umeme umegoma. si mna data wakuu chunguzeni kwa nini mradi wa umeme kijitonyama umekufa. ngeleja fanya maamuzi magumu na unayajua ni nini unatakiwa kufanya. wachangiaji wekeni hoja sio ubishi.
#Mambo mengine bana!!!
Yani unakkuja hapa kutuambia Mungu wa Kakobe ni katili sana, amesababisha Mgao wa Umeme? zile 33kVA ndo zimesababisha umeme ukosekane Tz?
Unataka kutuambia Mungu wa Kakobe hana jema? hawezi kuombea nchi hii ipate mvua zinyeeshe kwa wingi na watu wapate chakula na mabwawa yajae ili umeme upatikane?
Unatuambia Mungu wa Kakobe ni Mungu wa visasi na chuki, Mungu wa ghiliba na hasira??? huyu ndo mungu wa kakobe?
Mungu asiyesamehe? Yesu aliyesema ukipigwa kofi shavu moja geuza na la pili sio Yesu wa Kakobe? yeye ana Yesu wake?
Huyo Mungu wenu huyo anahitaji kuombewa yeye sasa!!!
CRAP!!
Inakujaje tena ya shehe na uungu mbona unatoka ktk madaNdugu yangu imeandikwa.MPUMBAVU HUJISEMEA MOYONI. Hakuna MUNGU!unadhani pale kwa kakobe kungekuwa kwa
yule marehemu shehe wangethubutu kupitisha ? Maana kwao alikuwa mungu wao.!AMELAANIWA YEYE AMTEGEMEAYE MWANADAMU.
muogope MUNGU wewe sio unatukana watumishi wa KWELI wa MUNGU.Kakobe nae ni fisadi tu kama alivyo ngeleja....
Kakobe aeleze kwanza mapato na matumizi ya fedha kanisani kwake
Gharika ya NUHU ililetwa na wewe
Kakobe aeleze kwanza mapato na matumizi ya fedha kanisani kwake