menyidyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 1,339
- 194
ulivyomlaghai kakobe ukasubiri amepanda madhabahuni ukawaita waandishi na kuwapa bahasha ndo linalokutokea puani. sasa wanajamii humu ni hivi waya za umeme zimepita pale kwa kakobe lakini umeme umegoma. si mna data wakuu chunguzeni kwa nini mradi wa umeme kijitonyama umekufa. ngeleja fanya maamuzi magumu na unayajua ni nini unatakiwa kufanya. wachangiaji wekeni hoja sio ubishi.