Huko Arusha katika Hotel ya Mount meru, yanaitwa Gems, jewelry and Mineral Fair East and southern Africa.
Kumbukeni kuwa mwaka 2009 ilipitishwa bungeni kuwa madini yote ya Vito yachimbwe na wenyeji na yakatwe inchini.
madini ya vito ni Tanzanite, Rubi, Sapphire, Diamond n.k
Bunge liliamua kuwa Tanzanite one waondoke mwaka 2013.
Wakati Tanzanite one wanaanza kuchimba, ilitokea migogoro mingi sana kama wachimbaji wadogo kupigwa risasi, Wafanyakazi kukaguliwa kwa X ray mbaya sana.
Pia iliaminika kuwa Tanzanite One ilikuwa na maslahi kwa Kigogo fulani ambaye alipewa Hotel South Africa.
Kwa sheria ya Bunge Tanzanite One ilitakiwa iondoke mwaka huu na kuachia KITALU C kwa wazawa. Kitalu C ndo kikubwa sana na kina madini mengi
Sasa kwa historia hiyo hapo juu, turudi kwenye heading. Imethibitika kuwa mwaka huu kuwa Tanzanite One imeuza share kwa wajanja wachache (Vigogo) na itaendelea kubaki nchini.
Sitaki kuwaaminisha, kila mtu afanye uchunguzi na habari iwekwe wazi wananchi wajue.
Kumbukeni kuwa mwaka 2009 ilipitishwa bungeni kuwa madini yote ya Vito yachimbwe na wenyeji na yakatwe inchini.
madini ya vito ni Tanzanite, Rubi, Sapphire, Diamond n.k
Bunge liliamua kuwa Tanzanite one waondoke mwaka 2013.
Wakati Tanzanite one wanaanza kuchimba, ilitokea migogoro mingi sana kama wachimbaji wadogo kupigwa risasi, Wafanyakazi kukaguliwa kwa X ray mbaya sana.
Pia iliaminika kuwa Tanzanite One ilikuwa na maslahi kwa Kigogo fulani ambaye alipewa Hotel South Africa.
Kwa sheria ya Bunge Tanzanite One ilitakiwa iondoke mwaka huu na kuachia KITALU C kwa wazawa. Kitalu C ndo kikubwa sana na kina madini mengi
Sasa kwa historia hiyo hapo juu, turudi kwenye heading. Imethibitika kuwa mwaka huu kuwa Tanzanite One imeuza share kwa wajanja wachache (Vigogo) na itaendelea kubaki nchini.
Sitaki kuwaaminisha, kila mtu afanye uchunguzi na habari iwekwe wazi wananchi wajue.