Ngeleja na wakubwa wenzake wanashare Tanzanite One!!??

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Huko Arusha katika Hotel ya Mount meru, yanaitwa Gems, jewelry and Mineral Fair East and southern Africa.

Kumbukeni kuwa mwaka 2009 ilipitishwa bungeni kuwa madini yote ya Vito yachimbwe na wenyeji na yakatwe inchini.

madini ya vito ni Tanzanite, Rubi, Sapphire, Diamond n.k

Bunge liliamua kuwa Tanzanite one waondoke mwaka 2013.

Wakati Tanzanite one wanaanza kuchimba, ilitokea migogoro mingi sana kama wachimbaji wadogo kupigwa risasi, Wafanyakazi kukaguliwa kwa X ray mbaya sana.

Pia iliaminika kuwa Tanzanite One ilikuwa na maslahi kwa Kigogo fulani ambaye alipewa Hotel South Africa.

Kwa sheria ya Bunge Tanzanite One ilitakiwa iondoke mwaka huu na kuachia KITALU C kwa wazawa. Kitalu C ndo kikubwa sana na kina madini mengi

Sasa kwa historia hiyo hapo juu, turudi kwenye heading. Imethibitika kuwa mwaka huu kuwa Tanzanite One imeuza share kwa wajanja wachache (Vigogo) na itaendelea kubaki nchini.

Sitaki kuwaaminisha, kila mtu afanye uchunguzi na habari iwekwe wazi wananchi wajue.
 
Hilo ni la kweli na mimi nimepata kusikia taarifa hizo. Ngoja tuendelee kuyachimba tutawaanika tu hapa.
 
kama mwanasheria ni riziwani unategemea kutakua na nini kipya hapo?hii nchi ni ya kifamilia hakuna kitakachoendelea mpaka walioko madarakani wapelekwe segerea au wanyongwe ndio mambo yataenda sawia
 
Mbona hilo lina fahamika japo sio kiivyo, Ami ana shikilia maslahi ya wakubwa wetu ndio maana wana uhakika wa kuendelea kumiliki kitalu C japo mkataba wao unapaswa kuisha 2012, sasa hivi kampuni imekuja kwa staili ya Richland Resources Ltd. Lakini wananchi tukikomaa na wabunge wetu bila kujali maslahi ya vyama hasa cha magamba hawa jamaa lazima waondoke.
 
Mbona hilo lina fahamika japo sio kiivyo, Ami ana shikilia maslahi ya wakubwa wetu ndio maana wana uhakika wa kuendelea kumiliki kitalu C japo mkataba wao unapaswa kuisha 2012, sasa hivi kampuni imekuja kwa staili ya Richland Resources Ltd. Lakini wananchi tukikomaa na wabunge wetu bila kujali maslahi ya vyama hasa cha magamba hawa jamaa lazima waondoke.
Huyo Ami alituuza South Africa badala ya kutuwakilisha kule! Akauza nchi na akaacha ubalozi na kurudi akiwa na share kila kampuni y south aftica iliyowekeza hapa nchini. Sijui kwa nini hakukumbwa ni ile dhana ya conflict of interest yaani badala ya kuwakilisha nchi unajiwakilisha mwenyewe.
 
Jaman jaman jaman,
nina imani mamia ya wabunge kwa sasa WANAHANGAIKA KWA WAGANGA WA KIENYEJI WAPATE UWAZIRI,
UKIWA WAZIRI HAPA TZ TUNASEMA
'UMEULA'
 
Wajinga ndiyo waliwao. Tumekuwa wajinga sana. Rais mjinga, waziri mjinga, mbunge mjinga na mwananchi naye ni mjinga. tuamke tutetee nchi yetu.
 
Laurence Kego Masha, a new Director & share holder, Kahama Gold Mines, Leagal Depertment.

IMMMA Advocate, Leagal advisor & consultant Tanzanate One.
 
Kama ulaji ndio huu basi kweli uwaziri dili! But we need changes Mawaziri wawe watumishi wa wananchi siyo wezi wa wananchi, sijui tunaliona hili kweli?
 
huko arusha katika hotel ya mount meru, yanaitwa gems, jewelry and mineral fair east and southern africa.

Kumbukeni kuwa mwaka 2009 ilipitishwa bungeni kuwa madini yote ya vito yachimbwe na wenyeji na yakatwe inchini.

Madini ya vito ni tanzanite, rubi, sapphire, diamond n.k

bunge liliamua kuwa tanzanite one waondoke mwaka 2013.

Wakati tanzanite one wanaanza kuchimba, ilitokea migogoro mingi sana kama wachimbaji wadogo kupigwa risasi, wafanyakazi kukaguliwa kwa x ray mbaya sana.

Pia iliaminika kuwa tanzanite one ilikuwa na maslahi kwa kigogo fulani ambaye alipewa hotel south africa.

Kwa sheria ya bunge tanzanite one ilitakiwa iondoke mwaka huu na kuachia kitalu c kwa wazawa. Kitalu c ndo kikubwa sana na kina madini mengi

sasa kwa historia hiyo hapo juu, turudi kwenye heading. Imethibitika kuwa mwaka huu kuwa tanzanite one imeuza share kwa wajanja wachache (vigogo) na itaendelea kubaki nchini.

Sitaki kuwaaminisha, kila mtu afanye uchunguzi na habari iwekwe wazi wananchi wajue.

watu wa sengerema mpo?? Mnajisikiaje kuwakilishwa na ngeleja mwizi, fisadi, mhujumu wa uchumi wa tanzania bungeni? Natumai mnajivunia kwani ndo mlimpa kura 2005
hati mlimpitisha bila kupingwa leo anachangia kutuongezea uaskini wa tz, shame on your faces na muende mkatubukanisani pia misikitini kwa kutuletea mtu fisadi katika uongozi na waakikishia mungu anawaona kwa maamuzi yenu........
 
Si Ngeleja tu hata Olenaiko ni board member. Na madini bado wanasafirisha yakiwa hayajakatwa ila wanakata yale mabovu kuzuga watu. TMAA wapo pale kama picha kwani kuna data muhimu hawapewi. Mtandao ni mkubwa mpaka juu. Ama kweli nchi imeinamishwa.
 
Nadhani kuna siku nilisema... kuhusu makampuni yaliyo chini ya wizara yake
 
Sasa wananchi wa Arusha anzeni kufanya uchunguzi kujua ukweli, halafu sasa kuweka mikakati jinsi ya kudaihaki zenu. iwe kwa maandamano ama njia nyingine.

Christopher Ole sendeka ni kinyonga, amegeuka na kuwa upande wa ufisadi ghafla, Je nani atawasaidia wananchi wapewe vitalu?
 
Huko Arusha katika Hotel ya Mount meru, yanaitwa Gems, jewelry and Mineral Fair East and southern Africa.

Kumbukeni kuwa mwaka 2009 ilipitishwa bungeni kuwa madini yote ya Vito yachimbwe na wenyeji na yakatwe inchini.

madini ya vito ni Tanzanite, Rubi, Sapphire, Diamond n.k

Bunge liliamua kuwa Tanzanite one waondoke mwaka 2013.

Wakati Tanzanite one wanaanza kuchimba, ilitokea migogoro mingi sana kama wachimbaji wadogo kupigwa risasi, Wafanyakazi kukaguliwa kwa X ray mbaya sana.

Pia iliaminika kuwa Tanzanite One ilikuwa na maslahi kwa Kigogo fulani ambaye alipewa Hotel South Africa.

Kwa sheria ya Bunge Tanzanite One ilitakiwa iondoke mwaka huu na kuachia KITALU C kwa wazawa. Kitalu C ndo kikubwa sana na kina madini mengi

Sasa kwa historia hiyo hapo juu, turudi kwenye heading. Imethibitika kuwa mwaka huu kuwa Tanzanite One imeuza share kwa wajanja wachache (Vigogo) na itaendelea kubaki nchini.

Sitaki kuwaaminisha, kila mtu afanye uchunguzi na habari iwekwe wazi wananchi wajue.

hapa unataka kutueleza kuwa tatizo ni nini?, unakiri kuwa owners wa mwanzo waliokuwa wageni waliondoka na kuwauzia wazawa, unataka/ulitaka mmiliki awe nani ili ufurahi?, ulitaka imilikiwe na wamasai wote chini ya chifu wao. Unakiri kuwa share ziliuzwa; do you mean utaratibu wa kuuza share haukueleweka?!, ulitaka kampuni na malizake zigawiwe free kwa nyoka?. Kimsingi sijaelewa tatizo unalotaka ku-adress.
 
Back
Top Bottom