Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Mwananchi amwambia wakikutana uso kwa uso patachimbika.....
Akijibu swali kuhusu madeni ya Tanesco asema Tanesco ilikuwa inadai zaidi ya bil 100 wakati netgroup solution walipoondoka lakini wamesha kusanya hadi zimebakia bil 5 tu. Alipoulizwa kwamba Tanesco inadai serikali kiasi gani, akasema takribani sh bil 200!!!!!
Mjadala unaendelea live, tazama
Akijibu swali kuhusu madeni ya Tanesco asema Tanesco ilikuwa inadai zaidi ya bil 100 wakati netgroup solution walipoondoka lakini wamesha kusanya hadi zimebakia bil 5 tu. Alipoulizwa kwamba Tanesco inadai serikali kiasi gani, akasema takribani sh bil 200!!!!!
Mjadala unaendelea live, tazama