Hii ndio sisi m.
Tukisema huwa viongozi wao wengi hamnazo wanasema twatukana.
Lakini ndivyo walivyo. Alafu utegemee lolote humo? Haya ndio matunda yao wenyewe wanaita ndio wenye chama.
Hii haina tofauti na wale wazee wa CHADEMA waliosema Mbowe hawezi kupingwa.