Ngeleja ameshindwa kujibu swali

Ndio uwezo wa serikali yetu na jinsi inavyoendeshwa imenisikitisha kuona waziri Ngeleja amekosa majibu ya source ya pesa wanazotumia kama wizara kununulia mafuta mazito ya mitambo ya IPTL na huyu ndiye waziri mwenye dhamana ya wizara hyo sasa sijui watz tukapate wapi majibu ya maswali mepesi kama haya.

" kwa nini Ngeleja usikubali kuwa wewe ni pompopo na huwezi uongozi?"
 
Zitto ni mnafiki anauliza maswali ya kujikosha.
Wote waweza kuwa ndani ya boti moja.

Wewe ndo mnafiki kwa kuwa huna uhakika na unachokisema,badala ya kumshambulia alietoa majibu ya hovyo unamshambulia alieuliza swali la akili!! Zitto ni noma kujaribu kumfunika ni sawa na kulifunika jua!!!!!hongera zitto kabwe kwa hoja na maswali yenye akili na hoja.
 
Hata kama hutaki kucheka utacheka tu. maswali yanaulizwa bungeni lakini majivu yake yanatolewa pembeni. Kimsingi swali linaloulizwa na mbunge linaulizwa na wananchi na mahali pa wananchi kuuliza na kujibiwa ni bungeni. Huko pembeni ni kwenye mdundiko siyo masuala ya bunge tena. Zitto ukienda huko pembeni utavuna mabua
 
kumbe na ZITTO amekuwa mtu wa kuongelea pembeni

huyu mtoto ufisadi utamumaliza

Stay tuned

Tupe ushahidi au acha kutoa upupu kasikilize mwenyewe uelewe kilitokea nini. ushaambiwa Anna Makinda ya Ndege alimnyamazisha kuendelea... Ulitaka asiulize Maswali ya Akili!!! au mbunge akinyamazishwa ndio lawama zote ziende kwake akijibiwa hata kizushi spika anatetea au ulitaka abishane na spika? wewe hujui bunge hili ni la kibabe... na wameshatahadhalishwa kuwa ubabe ukizidi watawashitaki kwetu peoples power....

subiri akitoka pembeni atauliza mbunge mwingine hadi jibu lipatikane.. Ngeleja hana ujanja wa kukwepa jibu kaamua kuwa mjanja kutamka kabla mkaguzi wa hesabu hajapita kuna harufu ya ufisadi hapo.... Ngeleja keshakuwa ''muongo'' kaambikizwa na Pinda...

Never mind i am just Teach you some of your responsibility

Bora kuwa Pazia kuliko Bendera hufuata Upepo
 
hivi km kuchanganua vitu vidogo hivyo baadhi ya watu hamuwezi sasa mtaweza kujadili nini? Yaani conclusion iliyotolewa juu ya Zitto inawafanya wanaotoa hitimisho hilo kuanza kufikiriwa km wanauwezo wa kufikiri au makusudi! Zitto alitakiwa anyang'anye mic? Alitakiwa afanyaje ili asiwe fisadi. Yaani siku zinavyozidi kwenda watu ndio wanashindwa kufikiri. Ni elimu yetu au siasa yetu? Mnahitaji madesa kwenye hilo? Sorry kwa mliokwazika kwa maneno haya, ambao kwao kuandika huwa kuna ambatana na kufikiri.
 
Majibu yanayohusu takwimu huweza kutolea majibu hapo kwa hapo bila ya kuwa na takwimu sahihi akifanya hivyo ataishia kuambiwa kuwa analidanganya Bunge

hilo swali haliitaji takwimu. Atoe sababu ya kuwepo matumizi ambayo hayakuwa budgeted na chanzo cha mapato yaliyotumika.
 
Sio lazima kwa waziri kuja kila kitu kinavchoendelea chini ya wizara yake, kwani Zitto hajui hela zinatoka wapi?..kwanini hajui?....same reason should apply to Ngeleja.
 
...fellow Tanzanians, the situation is becoming worse, kubali au kataa! Many of us know how Ngeleja 'won' the ministerial post and what is now doing, definitely no wonder!

My take:
Je badala ya kujihangaisha, kuna haja ya kufanye search/utafiti mpya kujua ni nani ameilaani nchi hii!!!??

Huna haja ya research kwa hilo jambo. Nchi ya Tanzania imelaaniwa na sisi watanzania wenyewe.
 
Mungu akijakutujalia kupata viongozi tutafurahi sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!..............eeeeh mungu baba kupitia kwa mwanao yesu utusaidie sisi wanao..
 
Kwani zimetakiwa takwimu au source ya hayo malipo?.........binafsi sielewi kwa nini tuNAwalipa hawa IPTL capacity charges,megawati wanazo supply TANESCO halafu tunawanunulia haya mafuta?.......ni kama kule TRL serikali iliuza hisa 51% halafu ikawa inalipa mishahara ya wafanyakazi,kukodi injini na mabehewa......hawa viongozi(vitongozi) vipi?

Ni wengi tusioelewa. Swali gumu zaidi kwa nini Serikali inunue mafuta wakati wanaouza huo umeme unaozalishwa ni Tanesco? Nilitegemea haya malipo ya kununua mafuta yangekuwa mkopo kwa Tanesco wakishauza umeme warudishe Hazina.
 
Sio lazima kwa waziri kuja kila kitu kinavchoendelea chini ya wizara yake, kwani Zitto hajui hela zinatoka wapi?..kwanini hajui?....same reason should apply to Ngeleja.

Yaani kwa fikra zako zinaonyesha upeo wako wa kifikra ni mdogo, anaetakiwa kujua hayo ni ngeleja na si zito, ngeleja alitakiwa awafahamishe wananchi kua hizo pesa zinatoka wapi kwa sababu yeye ndo waziri na c zito. thnk twice bro.
 
Hapo hapakuhitajika takwimu, palitakiwa ufafanuzi wa wapi fungu limetoka maana hazipo kwenye bajeti. Na kama ujuavyo serikali yetu ni mabingwa wa matumizi ambayo hayajapitishwa na huko ndio ufisadi unakofanyika
 
Hata mimi nilishanga muheshimiwa kaulizwa swali kwa niaba ya watanzia lakini majibu yake kwamba tutaonana tupeane taarifa kweli?baada ya kupeana watakuja kutueleza wananchi au ndiyo imepotezewa :disapointed:
 
Ndio uwezo wa serikali yetu na jinsi inavyoendeshwa imenisikitisha kuona waziri Ngeleja amekosa majibu ya source ya pesa wanazotumia kama wizara kununulia mafuta mazito ya mitambo ya IPTL na huyu ndiye waziri mwenye dhamana ya wizara hyo sasa sijui watz tukapate wapi majibu ya maswali mepesi kama haya.

" kwa nini Ngeleja usikubali kuwa wewe ni pompopo na huwezi uongozi?"

Wanaolipa ni Wizara ya Nishati au Hazina? Hazina iko chini ya Wizara ya Fedha, wanatumia Vote gani hilo siyo muhimu kwa wizara ya Nishati; Muhimu kwao ni umeme upatikane
 
kwa hapa nami sioni tatizo la Mh Kabwe, kauliza swali na kuna taratibu mle mjengoni. si suala la kukomaa/kubishana tu. iangaliwe namna ya kuhakikisha majibu yanapatikana to the public kwa hoja hii aliyoianzisha, bunge la sasa limekuwa la kutetea tu upande wa serikali. spika hatuna na ndie mwanzo wa shida.tusielekeze lawama kwa Kabwe bila msingi
 
Sio kweli swali hilo lilikuwa linahitaji takwimu ili lijibiwe,ni kwamba pengine palikuwa na ukiukwaji wa taratibu katika shughuli husika ndio maana Ngeleja kaona soo kujibu hadharani,
Majibu nyuma ya pazia kwa faida yao mafisadi
 
Back
Top Bottom