Mh Zitto Ameuliza swali pesa zinazotumika kulipa mafuta mazito na wizara ya nishati na madini ili hali hizo pesa hazikuwa outlined kwenye bajeti ya 2010/2011. Je hii imekaaje, Amelijbu kisiasa kuwa wakutane na zito amupe maelekezo. Je hili bunge letu lipo kwa ajili yetu sisi wananchi au wanasiasa.
Hili ni TATIZO kwa Taifa letu
Hili ni TATIZO kwa Taifa letu