Ngeleja alamba red card!

Rugas

JF-Expert Member
Jan 8, 2009
1,048
196
huyu jamaa ana mikosi kweli! Red card kwenye siasa,na sasa kwenye kambumbu! Amepewa red card kwenye mchezo kati ya bunge la tz na bunge la Eac.
 
Na bado ana moyo ila inategemea na refa kama ni mmoja wa wabunge basi kafanya kusudi.
Ila kusakamwa na watu at all angles lazima udate kama uu timamu
 
hivi we ngeleja yaani namatatizo yote haya ya umeme we huna habari unaenda kusukuma gozi kama xavi...kheee kweli mwnakwetu huna haraka..uje huku una kimeo cha posho a mtoto wa mkulima na bi kiroboto mmesaini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom