Ngeleja akiri kazi aliyopewa ngumu

Yaani spika kuzuia swali la lini mgao wa umeme utakwisha mimi naona ni ujuha. Hilo ni swali la msingi kabisa lakini mtu analitolea nje. Anyway tutafika tu hata kama ni kwa kuchelewa.

No Speaker alikuwa sahihi kwasababu Ngeleja anatakiwa kutoa tamko rasmi kwa Taifa juu ya swala la umeme. Hivyo ataongea huwenda labda leo. Ila this guy is boring, mimi huwa nakasirikaga pale anaposema siui kihansi mg40, songas mg120 mara mtera sijui mg300 mara sijui majenereta mapya - all fluff fluff talks any one could talk.
 
hata mimi nimeshuhudia vicheko wakati anatoa mada kwani hata yeye mwenyewe anajua kuwa anachoongea anakirudia kila siku, halafu kuna haja gani ya spika kilipinga swali la mbowe kwa ngeleja kuwa! ni lini hasa mgao wa umeme utaisha nchin?,

No Speaker alikuwa sahihi kwasababu Ngeleja anatakiwa kutoa tamko rasmi kwa Taifa juu ya swala la umeme. Hivyo ataongea huwenda labda leo. Ila this guy is boring, mimi huwa nakasirikaga pale anaposema siui kihansi mg40, songas mg120 mara mtera sijui mg300 mara sijui majenereta mapya - all fluff fluff talks any one could talk
 
ngeleja needs a chop, kama kuna uchawi basi huyu jamaa analindwa na uchawi balaaa

he is just crappy minister aliyezoea kuahidi bila tathmini yoyote ya utekelezaji

Kama ingeruhusiwa wabunge kumlamba viboko waziri asiye na majibu ya uhakika kuhusu wizara yake nadhani huyu jamaa angekula bakora za kutosha mkuu..... Mi simafagilii hata kidogo. He and his colleague Kigoma Malima sijajua mpaka sasa hiyo wizara yao inafanya nini?
Kwenye umeme tunapata mgao pamoja na kuongezeka kwa bei ya umeme - Crap
Mafuta ndio balaa sasa hivi bei imefika Tzs 1900 petroli kwa Dar sijui mikoani itakuwa ngapi
Gesi ya kupikia majumbani ndio balaa....

Hawana aibu kabisa hawa jamaa, ila iko siku yao....
 
Mkwere and his co have failed us for the past 5 years, they don't have anything new to deliver to us, ni business as usual. Tunachotakiwa kufanya kwa wakati huu ni kuwakumbusha wanayoshindwa kwa wananchi ili waelewe kuwa walioko madarakani hawawatakii mema wanajiangalia wao huku wakiwa hawana mipango endelevu wamekalia stories huku wao wakizidi kunenepa mpaka mashavu! Tunahitaji katiba mpya iliyotoka kwa wananchi na tume huru ya uchaguzi. Tuwe na katiba inayoweza kumlazimisha waziri anaposema uongo (ngeleja alisema mgao umekwisha and then within a week tanesco wakatangaza mgao ambao upo mpaka leo). Anafanya nini badala ya kuwajibishwa? mkwere anahutubia anasema yeye ni msema ovyo waziri akikosea anamwambia ajirekebishe au? Atamrekebisha? Ashawahi kumrekebisha nani? wamekalia maslahi yao na story story.
 
Huyu ni waziri anayetakiwa kujiuzulu mara moja au afukuzwe kazi na bosi wake. Ni madudu tu huyu mtu mpaka unajiuliza inakuwaje alichaguliwa tena katika wizara nyeti kama ile au ndio ni agent provocateur.

Huyu ni lazima awe held accountable kwa repeated failures za wizara yake kumuacha aendelee ni kuendelea kulea uozo
 
Hivi huyu waziri wa Nishati ana background gani, maana naona kama hayuko organised. Statement zake ni za mikanganyiko. Sasa naona kama kafikia mwisho wa kutafakari, au mumsaidieni au tafuteni mwingine.

hebu tupeni background.
 
Hajaanza leo huyo. Tangu matatizo hayo yalipojitokeza mwaka 2006 alikuja na nyimbo hizo hizo. Sasa imekuwa ndo majibu yake kila anapoulizwa kuhusu matatizo ya umeme basi majibu ndio hayo hayo; sijui stiegler gorge, sijui mchuchuma, sijui kiwira,.........sasa hebu muulize anajua yanayotokea huko kiwira na kwingineko? Au anaropoka tu.

Mimi nina kitu kinaitwa "2015 Power Master Plan" ambamo ndani yake kumeandikwa hayo anayoyasema Ngeleja. Mambo hayo yapo kwenye maandishi takriban miaka 10 sasa (kabla hata Ngeleja hajawa waziri), na katika yote yaliyoandikwa humo hakuna hata moja lililotekelezwa.

Je Ngeleja anajua anachojibu kila wakati kuhusu umeme au analeta porojo za siasa. Mwananchi wa kawaida wala hahitaji kujua hiyo mipangilio bali ni kuona umeme unawaka. Nadhani sasa wakati umefika kwa Ngeleja kuacha majibu ya kisiasa yaliyo kwenye maandishi na badala yake afanikishe kuwasha umeme.
 
Ngeleja anaendelea na ahadi zake lukuki za kuboresha hali ya umeme nchini sasa hivi Bungeni. Sijui kama watamruhusu John Mnyika azichambue ahadi hizi. Pamoja na mengi anayoyasema kuna kukodi majenereta mengine tena!
 
Ahadi za nini wakati watu wanaumia na kukosa umeme, tumechoka na ahadi zao!!!
 
anataja mamegawatt tuu na miradi ya umeme bila kuzungumzia emergence action plan
 
ngeleja anaendelea na ahadi zake lukuki za kuboresha hali ya umeme nchini sasa hivi bungeni. Sijui kama watamruhusu john mnyika azichambue ahadi hizi. Pamoja na mengi anayoyasema kuna kukodi majenereta mengine tena!
hakuna sababu ya kuchambua ahadi za kuhusu umeme ni wastage of time,sisi tunataka umeme kwisha.
 
Back
Top Bottom