Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Huyu waziri Ngeleja naye scandal kibao!... habari zake nzito sana huko alikotokea yaani hata nashindwa la kusema!...
Hii ndio sababu kubwa inayonipa wasiwasi kubwa na uwezo wa JK kuongoza - hawa WATU WAKE!
Kwa hiyo mkuu bado unaamini kwamba yeye ni tofauti na hao watu wake? Kwa maoni yangu nafikiri yeye ni worse kuliko hao aliowateua!