Ngeleja achafua hali ya hewa bungeni

ngeleja.. Anaiga kunya kwa tembo..! Analeta ubosi wake hapa.. Wakati uwezo mdogo.. Nimemuona kaniki yake bungeni.. Anajitia umaarufu wa kudandia treni kwa mbele kama vuvuzela..
 
Mh. Mdee ndoa yako na mh.Yule wa arumeru ni lini? Tunaisubiri kwa hamu. Halafu dr. Slaa ndoa na mchumba wako bado, maana tunataka tutakapokukabidhi nchi ya kaskazini mwaka 2015 uwe umeoa sio utangetange barabarani. Naomba mwenyewe majibu ajibu Kama hakuna basi wajibu wenyewe watakapoingia humu jf. Viva cdm

point less
 
mnakumbuka alisababisha mlinzi wa benki alifukuzwa kazi baada ya kumwambia boss kama unapiga simu kaa pembeni ili wateja wengine waendelee kupata huduma?:dance::llama:
 
Nimependa maneno ya Ngeleja ujumbe tosha kwa Chadema...bajeti ya harusi.
Nimeipenda sana bajeti ya baba riz, bajeti ya inji hii. hebu tuambie mwana wa legelege, kutoka deni la taifa la 5000 bilion wakati mzee akishika usukani mpaka leo 22000 bilion hivi ndo zimemong'olewa na huto tusafari twake twa kila week end au miradi ya maendeleo. Hivi hilo bakuli analozunguka nalo kila uchao limeingiza ngawira kiasi gani?
 
kikubwa nilichokiona mimi kwa ngeleja ni sifa na alikuwa anachochewa na muheshimiwa mkumba kwa kupiga makofi ya unafiki kimsingi makosa anayosema yeye yalisharekebishwa na wananchi tunajua so sijaona jipya kwa upande wake na pia mnazimu LISU ametoa maelezo mazuri kuwa CDM hawakupeleka bajeti bungeni bali ni mapendekezo ya kuboresha bajeti ya serikali 2012/2013.
 
mnakumbuka alisababisha mlinzi wa benki alifukuzwa kazi baada ya kumwambia boss kama unapiga simu kaa pembeni ili wateja wengine waendelee kupata huduma?:dance::llama:

Yule kamanda anaitwa Mnaku......mungu mkubwa kapata kazi nyingine......nawakumbusha saga zima

The Minister for Energy and Minerals, Mr. William Ngeleja, got into an altercation with a security guard at the Standard Chartered ATM yesterday. According to Mr. Pascal Mnaku, an employee of Ultimate Security Ltd, Mr. Ngeleja was in the booth talking on his mobile phone and he was trying to alert the Minister to the fact that other clients were waiting to use the ATM when: “The Minister suddenly turned around and started shouting at me asking me ‘Do you know who I am? You don’t know who I am!’ and he started swearing at me…*” Mr. Mnaku was summoned along with his superiors to Minister Ngeleja’s office in the afternoon for further discussion. he was subsequently fired by his boss!
 
Well, Ngereja alikuwa anaenda na rekodi ambayo wao wenyewe waliita "BAJETI MBADALA" na kuichapa kwenye RAIA MWEMA na MWANANCHI na kitabu cha "BAJETI MBADALA" cha upinzani, ambacho Ngeleja alikuwa amekishika mkononi anakisoma. Kama Tundu Lissu anasema kilichosomwa na Zitto ni "maoni" na sio "bajeti mbadala" kwa nini waoe wenyewe CHADEMA wameiita "Bajeti Mbadala"?


CHADEMA wakachemka tena kusema wana jumla ya ma trillioni ya vyanzo vya mapato lakini ukienda kwenye itemization of funding wamesema mapato ya TRA "zero," na mapato ya ndani "zero." Na Ngeleja akashikilia hapo hapo, rekodi zao wenyewe CHADEMA, utakuwaje na ma trillioni ya mapato kama TRA imekusanya shilingi sifuri? Hahahahahhahaahaaaa....

It was extremely interesting session because it captures a snapshot of what will become once CHADEMA holds government kwa sababu Ngeleja kwa experience yake ndefu serikalini na kwa kukosolewa miaka sita aliongea kama mpinzani vile, kwa hoja ulizozoea kusikia kwa wapinzani, ndo maana ikabidi CHADEMA wamtumie Halima Mdee, Lissu na Mbowe kumkabili. Wakashindwa, ndo maana mwisho wa siku Halima alifuta kauli yake kwamba "Ngeleja ana uchungu wa kutoswa uwaziri" kijembe ambacho kilikuwa hoja nyepesi.
Vibaraka wapo wengi sana humu....
 
Na ndivyo ilivyo alikuwa anatafuta umaarufu badala ya kujadili bajeti ya serikali ana jadili bajeti ya upinzani kweli inaonyesha ni jinsi gani upinzani unavyoipa tabu serikali ya ccm
 
Ni alipokuwa akichangia hoja,, bungeni,, amesema watanzania muunge mkono bajeti ni nzuri itatusaidia,,,AMEUNGA MKONO HOJA YA BAJETI ASILIMIA MIA MOJA HAMSINI,, AMEPONDA BAJETI YETUU CHADEMA,, AMETAKA KUJICHUKULIA UMAARUFU KUPITIA KWETU

“I am certain that guard didn’t know who I was during that time, as he was starting to get confrontational one customer tried to warn him that he was speaking to a Cabinet Minister but he continued to shout ” He said it in January 10, 2011
 
Back
Top Bottom