sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Ni alipokuwa akichangia hoja,, bungeni,, amesema watanzania muunge mkono bajeti ni nzuri itatusaidia,,,AMEUNGA MKONO HOJA YA BAJETI ASILIMIA MIA MOJA HAMSINI,, AMEPONDA BAJETI YA CHADEMA
Ni baada ya kuanza kutaka kujipatia umaarufu kupitia chadema,, ndipo,, amekutana na mtasha tundu lissu,, na kumtuliza,, ngeleja kwa ujuha wake,, wa kudandia hoja juu juu
Ni baada ya kuanza kutaka kujipatia umaarufu kupitia chadema,, ndipo,, amekutana na mtasha tundu lissu,, na kumtuliza,, ngeleja kwa ujuha wake,, wa kudandia hoja juu juu