CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
A failed lawyer na megawati wapi na wapi.......hesabu alizikimbia O'Level!
Halafu tunabaki kukubaliana na sentensi tata kama hizi....!
Yn moshi ndo hakufai tk jmos hd leo kutwa hakuna umeme unarudi sa 1 usiku sa 4 wanakata wanarudisha sa 8 sa 12 asubuh unakatika unarudi sa 1 jioniiii. Yn mateso tunayopata mungu ndo ajuaye,
Wana JF, mnajua hili tatizo la umeme halina dalili ya ufumbuzi na sisi tumebaki kuongea tu? Kwanini JF isitumike kupanga Demostration? nashauri kila watu katika maeneo waliko tukutane online na kupanga jinsi gani na wapi tuanze demostration. mimi nipo TARIME, wote wa tarime tuwasiliane kazi ianze
Hili tatizo lipo mikoa yote...umeme hauna ratiba...unaweza katika mara 3 ndani ya saa moja.
Kila Ngeleja akitoa tamko hali inakuwa mbaya zaidi...akitoa tena ndio umeme unakatika nchi nzima.
Ngoja nikapige viroba then nirudi tuendelee kuchangia hii mada
Wana JF, mnajua hili tatizo la umeme halina dalili ya ufumbuzi na sisi tumebaki kuongea tu? Kwanini JF isitumike kupanga Demostration? nashauri kila watu katika maeneo waliko tukutane online na kupanga jinsi gani na wapi tuanze demostration. mimi nipo TARIME, wote wa tarime tuwasiliane kazi ianze
Hili tatizo lipo mikoa yote...umeme hauna ratiba...unaweza katika mara 3 ndani ya saa moja.
Kila Ngeleja akitoa tamko hali inakuwa mbaya zaidi...akitoa tena ndio umeme unakatika nchi nzima.
Jina ndo linalomkuza mtu: mzee megawati
This reminds the book "Who say truth in Tanzania?", nilipata kukiona kwa jamaa, nilikitafuta bookshops sijakipata, Je ni nani alobakia serikalini anayesema na kusimamia kweli?