kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Hii professional nmeivamia wandugu npeni michongo mingne yakufanya kwani mwakan tu namalzia digrii yangu.
Ingia tu mkuu baada ya mwaka mmoja chukua mkopo then zungushia kwenye biashara utatoka tu. Mie nilikua huko ila nilikwepa kwenye kusoma degree nikasomea kitu kingine kabisa na ndo kinachonitoa sasa