Ngazi za Mishahara: PGSS 9 & PGSS 10

Salam kwenu wana jf, napenda kuuliza khuhusu kiwango cha mshahara cha PMGSS 10,
natumaini jf ni jawabu la kila kitu.
shukrani
 
We mwalimu wa sekondari kiboko! Kwa majibu haya kweli wanafunzi huwa wanakuelewa au ndo walewale wanaosaidia serikali kuzamisha boti ya kulikomboa taifa kielimu? Afu hapohapo mnalalamika maslahi madogo.....kazi kwelikweli!
Vita subira kidogo, mtaalamu yuko semina, atarejea baada ya muda mfupi.
 
Ni Parastatal Government Salary Scale 9 ni kama 1.2m hivi na 10 ni kama 1.4m hivi ila kwa ongezeko la Julai mwaka huu yaweza kuwa zaidi.
 
Ni Parastatal Government Salary Scale 9 ni kama 1.2m hivi na 10 ni kama 1.4m hivi ila kwa ongezeko la Julai mwaka huu yaweza kuwa zaidi.

Parastatal General Salary Scale. Ongezeko la Julai haliwahusu hawa, lile ni la watumishi wa umma.
 
Sasa wewe jibu lako liko wapi?

Ni kazi yangu kuelimisha hivyo acha niendeleze kazi yangu hapa. Mimi sina jibu lolote juu ya mada hii ila huyo mchangiaji alienda OP(Out of Point) nikaamua kumjulisha kwa namna hiyo. Yeye nadhani alinielewa isipokuwa wewe unayehitaji remedial class ili uelewe.
 
We mwalimu wa sekondari kiboko! Kwa majibu haya kweli wanafunzi huwa wanakuelewa au ndo walewale wanaosaidia serikali kuzamisha boti ya kulikomboa taifa kielimu? Afu hapohapo mnalalamika maslahi madogo.....kazi kwelikweli!
Wewe hata physics ya Olevel haijakusaidia, Mtu hatakiwi kulipwa kwa kiwango chake cha elimu bali kwa kuwango cha kazi aliyofanya ama kuzalisha. Walimu hatujadai ongezeko la malipo kwa kigezo cha elimu bali kwa mchango wetu mkubwa wa kufuta ujinga kama ulionao wewe. Mwalimu Kupotoshwa mwanafunzi ni kinyume na maadili ya kazi yetu pia kinyume na mapenzi ya Mungu na mwishowe haiendani na utu wa kitanzania. Mtoto wa mwenzio ni wako! Tafakari na chukua hatua
 
naomba mwenye kujua hizi salary scale.[FONT=arial, helvetica]PMGSS 6,PRSS 14,NBS 5.1 na PTSS 14[/FONT]​
 
jamani mbona mada imebadirika na kuwa nyingine?
please naomba msaada wa swali langu sio malumbano.
 
We mwalimu wa sekondari kiboko! Kwa majibu haya kweli wanafunzi huwa wanakuelewa au ndo walewale wanaosaidia serikali kuzamisha boti ya kulikomboa taifa kielimu? Afu hapohapo mnalalamika maslahi madogo.....kazi kwelikweli!
kUmBe wAlImU wA sEkOnDaRi Ni KiBoKo?au ni huyo jamaa ndio anakufanya utukane walimu wetu?acha habari za kudharau watu kwa taaluma zao wewe.
 
TGOS A
TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000), TGOS A 7.(Sh272,000), TGOS A 8(Sh279,000), TGOS A 9.(Sh284,800), TGOS A 10(Sh290,400), TGOS A 11(Sh296,000), TGOS A 12(Sh301,600), TGOS A 13(Sh 307,200), TGOS A 14(Sh312,800), TGOS A 15(Sh 318,400), TGOS A 16(Sh324,000), TGOS A 17(Sh329,600) na TGOS A 18(Sh335,200).
TGOS B

TGOS B 1. (Sh347,000), TGOS B 2. (Sh356,500) TGOS B 3 . (Sh366,000), TGOS B 4 . (Sh375,500), TGOS B 5. (Sh385,000), TGOS B 6. (Sh394,500), TGOS B 7. (Sh404,000), TGOS B 8. (Sh413,500), TGOS B 9. (Sh423,000), TGOS B 10. (Sh432,500), TGOS B 11 . (Sh442,000) na TGOS B 12. (Sh451,500).
TGOS C

TGOS C 1 . (Sh471,000), TGOS C 2 . (Sh482,000), TGOS C 3 . (Sh493,000), TGOS C 4. (Sh504,000), TGOS C 5. (Sh515,000), TGOS C 6. (Sh526,000), TGOS C 7. (Sh537,000), TGOS C 8. (Sh548,000), TGOS C 9. (Sh559,000), TGOS C 10. (Sh570,000), TGOS C 11. (Sh581,000) na TGOS C 12. (Sh592,000).

Watumshi wa serikali wenye taaluma mbalimbali

TGS A

TGS A 1. (Sh249,000), TGS A 2. (Sh255,600), TGS A 3. (Sh262,200 ), TGS A 4. (Sh268,800 ), TGS A 5. (Sh275,400), TGS A 6. (Sh282,000), TGS A 7. (Sh288,600 ), na TGS A 8. (Sh295,200).

TGS B

TGS B 1. (Sh311,000), TGS B 2. (Sh319,500), TGS B 3. (Sh328,000), TGS B 4. (Sh336,500), TGS B 5. (Sh345,000), TGS B 6. (Sh353,500), TGS B 7. (Sh362,000), TGS B 8. (Sh370,000), TGS B 9. (Sh379,000) na TGS B 10. (Sh 387,500).

TGS C

TGS C 1. (Sh410,000), TGS C 2. (Sh420,000), TGS C 3. (Sh430,000), TGS C 4. (Sh440,000), TGS C 5. (Sh450,000), TGS C 6. (Sh460,000), TGS C 7. (Sh470,000) na TGS C 8. (Sh480,000). TGS C 9. (Sh490,000), TGS C 10. (Sh500,000), TGS C 11. (Sh510,000), TGS C 12. (Sh520,000).

TGS D

TGS D 1. (Sh567,000), TGS D 2. (Sh578,500), TGS D 3. (Sh590,000), TGS D 4. (Sh601,500), TGS D 5. (Sh613,000), TGS D 6. (Sh 624,500), TGS D 7. (Sh636,000), TGS D 8. (Sh647,500), TGS D 9. (Sh659,000), TGS D 10. (Sh 670,500), TGS D 11. (Sh 682,000),na TGS D 12. (Sh 693,500).

TGS E
TGS E 1. (Sh751,000), TGS E 2. (Sh766,500), TGS E 3. (Sh782,000), TGS E 4. (Sh797,500), TGS E 5. (Sh813,000), TGS E 6. (Sh828,500), TGS E 7. (Sh844,000), TGS E 8. (Sh859,500), TGS E 9. (Sh875,000), TGS E 10. (Sh890,500), TGS E 11. (Sh906,000), na TGS E 12. (Sh912,500).

TGS F

TGS F 1. (Sh1,003,000 ), TGS F 2. (Sh 1,022,400), TGS F 3. (Sh 1,044,800), TGS F 4. (Sh1,061,200), TGS F 5. (Sh 1,080,600), TGS F 6. (Sh1,100,000), TGS F 7. (Sh1,119,400), TGS F 8. (Sh 1,138,800), TGS F 9. (Sh 1,158,200), TGS F 10. (Sh1,177,600), na TGS F 11. (Sh 1,197,000) TGS F 12. (Sh 1,216,400).

TGS G

TGS G 1. (Sh 1,299,000), TGS G 2. (Sh 1,324,500), TGS G 3. (Sh 1,350,000), TGS G 4. (Sh 1,375,500), TGS G 5. (Sh 1,401,000), TGS G 6. (Sh 1,426,500), TGS G 7. (Sh 1,452,000), TGS G 8. (Sh 1, 477,500), TGS G 9. (Sh 1,503,000), TGS G 10. (Sh 1,528,500), TGS G 11. (Sh 1,554,000), na TGS G 12. (Sh 1,579,500).

TGS H

TGS H 1. (Sh 1,672,000), TGS H 2. (Sh 1,722,000), TGS H 3. (Sh 1,772,000), TGS H 4. (Sh 1,822,000), TGS H 5. (Sh 1,872,000), TGS H 6. (Sh 1,922,000), TGS H 7. (Sh 1,972,000), TGS H 8. (Sh 2,022,000), TGS H 9. (Sh2,072,000), TGS H 10. (Sh 2,122,000), TGS H 11. (Sh 2,172,000) na TGS H 12. (Sh 2,222,000).

TGS I

TGS I-1. (Sh2,317,000), TGS I-2.(Sh 2,413,000), TGS I-3. (Sh 2,509,000) na TGS I-4.(Sh 2,605,000).

TGHS I (Sh 2,800,000).

TGHS J


TGHS J (Sh 2,900,000)
TGHS K

TGHS K (Sh 3,100,000)

TGHS L

TGHS L (Sh 3,400,000)

Watumishi wa Mahakama

TJS 1

TJS 1.1. (Sh 510,000), TJS 1.2. (Sh 535,000), TJS 1.3. (Sh 560,000), TJS 1.4. (Sh 585,000), TJS 1.5. (Sh 610,000), na TJS 1.6. (Sh 635,000) na TJS 1.7. (Sh 660,000).

TJS 2

TJS 2.1. (Sh 770,000), TJS 2.3. (Sh 805,000), TJS 2.3. (Sh 840,000), TJS 2.4. (Sh 875,000), TJS 2.5. (Sh 910,000), TJS 2.6. (Sh 945,000), na TJS 2.7. (Sh 980,000).

TJS 3

TJS 3.1. (Sh 1,075,000), TJS 3.2. (Sh 1,115,000), TJS 3.3. (Sh 1,155,000), TJS 3.4. (Sh 1,195,000), TJS 3.5. (Sh 1,235,000), TJS 3.6. (Sh 1,275,000), na TJS 3.7. (Sh 1,315,000).

TJS 4
TJS 4.1. (Sh1,420,000), TJS 4.2. (Sh 1,470,000), TJS 4.3. (Sh 1,520,000), TJS 4.4. (Sh 1,570,000), TJS 4.5. (Sh 1,620,000), TJS 4.6. (Sh 1,670,000), na TJS 4.7. (Sh 1,720,000).

TJS 5

TJS 5.1. (Sh 1,805,000), TJS 5.2. (Sh1,875,000), TJS 5.3. (Sh 1,945,000), TJS 5.4. (Sh 2,015,000), TJS 5.5. (Sh 2,085,000), na TJS 5.6. (Sh 2,155,000).

TJS 6

TJS 6.1. (Sh 2,250,000), TJS 6.2. (Sh 2,350,000), TJS 6.3. (Sh 2,450,000), TJS 6.4. (Sh 2,550,000), na TJS 6.5. (Sh 2,650,000).

TJS 7

TJS 7 (Sh 3,560,000)

TJS 8

TJS 8. (Sh 4,050,000)

TJS 9

TJS 9. (Sh 4,480,000)


TJS 10
TJS 10 (Sh 4,600,000)

Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

AGCS 1

AGCS 1.1. (Sh 360,000), AGCS 1.2. (Sh 380,000), AGCS 1.3. (Sh 400,000), AGCS 1.4. (Sh 420,000), AGCS 1.5. (Sh 440,000), AGCS 1.6. (Sh 460,000), AGCS 1.7 (Sh 480,000).

AGCS 2

AGCS 2.1.(Sh 510,000), AGCS 2.2.(Sh 534,700), AGCS 2.3.(Sh 559,000), AGCS 2.4.(Sh 584,100), AGCS 2.5.(Sh 608,800), AGCS 2.6.(Sh 633,500), AGCS 2.7.(Sh 658,200).

AGCS 3

AGCS 3.1.(Sh770,000), AGCS 3.2.(Sh 802,000), AGCS 3.3.(Sh 834,000), AGCS 3.4.(Sh 866,000), AGCS 3.5.(Sh 898,000), AGCS 3.6.(Sh 930,000), na AGCS 3.7.(Sh 962,000).

AGCS 4

AGCS 4.1.(Sh 1,075,000), AGCS 4.2.(Sh 1,113,000), AGCS 4.3.(Sh 1,151,000), AGCS 4.4.(Sh 1,189,000), AGCS 4.5.(Sh 1,227, 000), AGCS 4.6.(Sh 1,265,000), AGCS 4.7.(Sh 1,303,000).

AGCS 5


AGCS 5.1.(Sh 1,420,000), AGCS 5.2.(Sh 1,464,000), AGCS 5.3.(Sh 1,508,000), AGCS 5.4.(Sh 1,552,000), AGCS 5.5.(Sh 1,596,000), AGCS 5.6.(Sh 1640,000), AGCS 5.7.(Sh 1,684,000).
AGCS 6

AGCS 6.1.(Sh 1,805,000), AGCS 6.2.(Sh 1,867,000), AGCS 6.3.(Sh 1,929,000), AGCS 6.4.(Sh 1,991,000), AGCS 6.5.(Sh 2,053,000), na AGCS 6.6.(Sh 2,115,000).

AGCS 7

AGCS 7.1.(Sh 2,240,000), AGCS 7.2.(Sh 2,329,000), AGCS 7.3.(Sh 2,418,000), AGCS 7.4.(Sh 2,507,000), na AGCS 7.5.(Sh 2,596,000)

AGCS 8

AGCS 8(Sh 3,020,000)

AGCS 9

AGCS 9(Sh3,560,000)

AGCS 10

AGCS 10 (Sh 4,230,000)

AGCS 11

AGCS 11(Sh 4,485,000)
AGCS 12

AGCS 12 (Sh 5,000,000)

AGCS 13

AGCS 13(Sh 5,580,000)

Wafanyakazi wanaofanya utafiti wa kilimo na mifugo

TGRS A

TGRS A 1. (Sh 916,000), TGRS A 2. (Sh926,500), TGRS A 3. (Sh 937,000), TGRS A 4. (Sh 947,500), TGRS A 5. (Sh 958,000), TGRS A 6. (Sh 968,500), TGRS A 7. (Sh 979,000), na TGRS A 8. (Sh 989,500).

TGRS B

TGRS B 1. (Sh 1,060,000), TGRS B 2. (Sh 1,072,700), TGRS B 3. (Sh 1,085,400), TGRS B 4. (Sh 1,098,100), TGRS B 5. (Sh 1,110,800), TGRS B 6. (Sh 1,123,500), TGRS B 7. (Sh 1,136,200), na TGRS B 8. (Sh 1,148,900).

TGRS C

TGRS C 1. (Sh 1,252,000), TGRS C 2. (Sh 1,268,400), TGRS C 3. (Sh 1,284,800), TGRS C 4. (Sh 1,301,200), TGRS C 5. (Sh 1,317,600), TGRS C 6. (Sh 1,334,000),TGRS C 7. (Sh 1,350,400), na TGRS C 8. (Sh 1,366,800).

TGRS D
TGRS D 1. (Sh 1,473,000),TGRS D 2. (Sh 1,495,000), TGRS D 3. (Sh 1,517,000), TGRS D 4. (Sh 1,539,000), TGRS D 5. (Sh 1,561,000), TGRS D 6. (Sh 1,583,000), TGRS D 7. (Sh 1,605,000), na TGRS D 8. (Sh 1,627,000).

TGRS E

TGRS E 1. (Sh 1,736,000), TGRS E 2. (Sh 1,774,500), TGRS E 3. (Sh 1,813,000), TGRS E 4. (Sh 1,851,500), TGRS E 5. (Sh 1,890,000), TGRS E 6. (Sh 1,928,500), TGRS E 7. (Sh 1,967,000), na TGRS E 8. (Sh 2,005,500).

TGRS F

TGRS F 1. (Sh 1,114,000), TGRS F 2. (Sh 2,183,000), TGRS F 3. (Sh 2,252,000), na TGRS F 4. (Sh 2,321,000).

TGRS G

TGRS G 1. (Sh 2,440,000), TGRS G 2. (Sh 2,522,000), na TGRS G 3. (Sh 2,604,000).

TGRS H

TGRS H (Sh 2,950,000)

TGRS I

TGRS I (Sh 3,100,000)


Wafanyakazi Ofisi ya Bunge kada ya masharti (operational service)
PSOS A

PSOS A.1. (Sh 240,000), PSOS A.2. (Sh 245,600), PSOS A.3. (Sh 251,200), PSOS A.4. (Sh 256,800),PSOS A.5. (Sh 262,400), PSOS A.6. (Sh 268,000), PSOS A.7. (Sh 273,500), PSOS A.8. (Sh 279,200), PSOS A.9. (Sh 284,800), PSOS A.10. (Sh 290,400), PSOS A.11. (Sh 296,000), PSOS A.12. (Sh 301,600),PSOS A.13. (Sh 307,200), PSOS A.14. (Sh 312,800), PSOS A.15. (Sh 318,400), PSOS A.16. (Sh324,000), PSOS A.17. (Sh 329,600), na PSOS A.18. (Sh 335,200).

PSOS B

PSOS B.1. (Sh 347,000), PSOS B.2. (Sh 356,500), PSOS B.3. (Sh 366,000), PSOS B.4. (Sh 375,500),PSOS B.5. (Sh 385,000), PSOS B.6. (Sh 394,500), PSOS B.7. (Sh 404,000), PSOS B.8. (Sh 413,500), PSOS B.9. (Sh 423,000), PSOS B.10. (Sh 432,500), PSOS B.11. (Sh 442,000), na PSOS B.12. (Sh 451,500).

PSOS C

PSOS C.1. (Sh 471,000), PSOS C.2. (Sh 482,000),PSOS C.3. (Sh 493,000), PSOS C.4. (Sh 504,000), PSOS C.5. (Sh 515,000), PSOS C.6. (Sh 526,000), PSOS C.7. (Sh537,000), PSOS C.8. (Sh 548,000), PSOS C.9. (Sh 559,000), PSOS C.10. (Sh 570,000), PSOS C.11. (Sh 581,000), na PSOS C.12. (Sh 592,000).

Wafanyakazi wenye taaluma mbalimbali Ofisi za Bunge

PSS A

PSS A. 1. (Sh 249,000), PSS A. 2. (Sh 255,600), PSS A. 3. (Sh 262,200), PSS A. 4. (Sh 268,800), PSS A. 5. (Sh 275,400), PSS A. 6. (Sh 282,000), PSS A. 7. (Sh 288,600), na PSS A. 8. (Sh 295,200).

PSS B

PSS B. 1. (Sh 311,000), PSS B. 2. (Sh 319,500), PSS B. 3. (Sh 328,000), PSS B. 4. (Sh 336,500), PSS B. 5. (Sh 345,000), PSS B. 6. (Sh353,500), PSS B. 7. (Sh 362,000), PSS B. 8. (Sh 370,500), PSS B. 9. (Sh 379,000), na PSS B. 10. (Sh387,500).


PSS C
PSS C. 1. (Sh 410,000), PSS C. 2. (Sh 420,000), PSS C. 3. (Sh 430,000), PSS C. 4. (Sh 440,000), PSS C. 5. (Sh 450,000), PSS C. 6. (Sh 460,000), PSS C. 7. (Sh 470,000), PSS C. 8. (Sh 480,000), PSS C. 9. (Sh 490,000), PSS C. 10. (Sh 500,000), PSS C. 11. (Sh 510,000), na PSS C. 12. (Sh 520,000).

PSS D

PSS D. 1. (Sh 567,000),PSS D. 2.(Sh 578,500),PSS D. 3. (Sh 590,000),PSS D. 4. (Sh 601,500),PSS D. 5. (Sh 613,000),PSS D. 6. (Sh 624,000),PSS D. 7. (Sh 636,000),PSS D. 8. (Sh 647,500),PSS D. 9. (Sh 659,000),PSS D. 10. (Sh 670,500),PSS D. 11. (Sh 682,000), na PSS D. 12. (Sh 693,500).

PSS E

PSS E. 1. (Sh751,000),PSS E. 2. (Sh 766,500),PSS E. 3. (Sh 782,000),PSS E. 4. (Sh 797,500),PSS E. 5. (Sh 813,000),PSS E. 6. (Sh 828,500),PSS E. 7. (Sh 844,000),PSS E. 8. (Sh 858,500),PSS E. 9. (Sh 875,000),PSS E. 10. (Sh 890,500),PSS E. 11. (Sh 906,000),na PSS E. 12. (Sh 912,500).

PSS F

PSS F. 1. (Sh 1,003,000),PSS F. 2. (Sh 1,022,000),PSS F. 3. (Sh 1,041,800),PSS F. 4. (Sh 1,061,200),PSS F. 5. (Sh 1,080,600),PSS F. 6. (Sh 1,100,000),PSS F. 7. (Sh 1,119,400),PSS F. 8. (Sh 1,138,800),PSS F. 9. (Sh 1,158,200),PSS F. 10. (Sh 1,177,600),PSS F. 11. (Sh 1,197,000),na PSS F. 12. (Sh 1,216,400).

PSS G

PSS G. 1. (Sh 1,299,000),PSS G. 2. (Sh 1,324,500),PSS G. 3. (Sh 1,350,000),PSS G. 4. (Sh 1,375,500),PSS G. 5. (Sh 1,401,000),PSS G. 6. (Sh 1,426,500),PSS G. 7. (Sh 1,452,000),PSS G. 8. (Sh 1,477,500),PSS G. 9. (Sh 1,503,000),PSS G. 10. (Sh 1,528,500),PSS G. 11. (Sh 1,554,000),na PSS G. 12. (Sh 1,579,500).

PSS H

PSS H. 1. (Sh 1,672,000),PSS H. 2. (Sh 1,722,000),PSS H. 3. (Sh 1,772,000),PSS H. 4. (Sh 1,822,000),PSS H. 5. (Sh 1,872,000),PSS H. 6. (Sh 1,922,000),PSS H. 7. (Sh 1,972,000),PSS H. 8. (Sh 2,022,000),PSS H. 9. (Sh 2,072,000),PSS H. 10. (Sh 2,122,000),PSS H. 11. (Sh 2,172,000),na PSS H. 12. (Sh 2,222,000).


PSS I
PSS I. 1. (Sh 2,317,000),PSS I. 2. (Sh 2,413,000),PSS I. 3. (Sh 2,509,000),na PSS I. 4. (Sh 2,605,000).

PSS J

PSS J (Sh 2,800,000)

PSS K

PSS K (Sh 2,900,000)

PSS L

PSS L (Sh 3,100,000)

Wafanyakazi wa kada ya Wakaguzi katika Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (SAIS)

SAIS A

SAIS A.1. (Sh 249,000), SAIS A.2. (Sh 255,600), SAIS A.3. (Sh 262,200),SAIS A.4. (Sh 268,800), SAIS A.5. (Sh 275,400), SAIS A.6. (Sh 282,000), SAIS A.7. (Sh 288,600), na SAIS A.8. (Sh 295,200)

SAIS B


SAIS B.1. (Sh 311,000), SAIS B.2. (Sh 319,500), SAIS B.3. (Sh 328,000), SAIS B.4. (Sh 336,500), SAIS B.5. (Sh 345,000), SAIS B.6. (Sh 353,500), SAIS B.7. (Sh 362,000), SAIS B.8. (Sh 370,500), SAIS B.9. (Sh 379,000), na SAIS B.10. (Sh 387,500).
SAIS C

SAIS C.1. (Sh 410,000), SAIS C.2. (Sh 420,000), SAIS C.3. (Sh 430,000), SAIS C.4. (Sh 440,000), SAIS C.5. (Sh 450,000), SAIS C.6. (Sh 460,000), SAIS C.7. (Sh 470,000), SAIS C.8. (Sh 480,000), SAIS C.9. (Sh 490,000), na SAIS C.10. (Sh 500,000),SAIS C.1.1 (Sh510,000), na SAIS C.12. (Sh 520,000).

SAIS D

SAIS D.1. (Sh567,000), SAIS D.2. (Sh 578,500),SAIS D.3. (Sh 590,000),SAIS D.4. (Sh 601,500),SAIS D.5. (Sh 613,000),SAIS D.6. (Sh 624,500),SAIS D.7. (Sh 636,000),SAIS D.8. (Sh 647,500),SAIS D.9. (Sh 659,000),SAIS D.10. (Sh 670,500),SAIS D.11. (Sh 682,000),SAIS D.12. (Sh 693,500).

SAIS E

SAIS E.1. (Sh 751,000),SAIS E.2. (Sh 766,500),SAIS E.3. (Sh 782,000),SAIS E.4. (Sh 797,500),SAIS E.5. (Sh 813,000),SAIS E.6. (Sh 828,000),SAIS E.7. (Sh 844,000),SAIS E.8. (Sh 859,500),SAIS E.9. (Sh 875,000),SAIS E.10. (Sh 890,500),SAIS E.11. (Sh 906,000),na SAIS E.12. (Sh 912,500).

SAIS F

SAIS F.1. (Sh1,003,000),SAIS F.2. (Sh 1,022,400),SAIS F.3. (Sh 1,041,800),SAIS F.4. (Sh 1,061,200),SAIS F.5. (Sh 1,080,600),SAIS F.6. (Sh 1,100,000),SAIS F.7. (Sh 1,119,400),SAIS F.8. (Sh 1,188,800),SAIS F.9. (Sh 1,158,200),SAIS F.10. (Sh 1,177,600),SAIS F.11. (Sh 1,197,000), na SAIS F.12. (Sh 1,216,400).

SAIS G

SAIS G.1. (Sh1,299,000),SAIS G.2. (Sh 1,324,500),SAIS G.3. (Sh 1,350,000),SAIS G.4. (Sh 1,375,500),SAIS G.5. (Sh 1,401,000),SAIS G.6. (Sh 1,426,500),SAIS G.7. (Sh 1,452,000),SAIS G.8. (Sh 1,477,500),SAIS G.9. (Sh 1,503,000),SAIS G.10. (Sh 1,528,000),SAIS G.11. (Sh 1,554,000),na SAIS G.12. (Sh 1,579,000).

SAIS H


SAIS G.1. (Sh 1,672,000),SAIS G.2. (Sh 1,722,000),SAIS G.3. (Sh 1,772,000),SAIS G.4. (Sh 1,822,000),SAIS G.5. (Sh 1,872,000),SAIS G.6. (Sh 1,922,000),SAIS G.7. (Sh 1,972,000).













 
Parastatal General
Salary Scale. Ongezeko la Julai haliwahusu hawa, lile ni la watumishi wa
umma.

naona hujui maana ya watumishi wa umma; lile ongezeko la July ni kweli haliwahusu watumishi wote wa umma, hata tangazo lilifanunua. ila ujue kuwa mtumishi wa umma ni mtumishi yeyote anayefanya kazi ktk ofisi/taasisi yoyote ya serikali, iwe wizarani, mkoani, halmashauri, au mashirika ya umma.
 
Back
Top Bottom