hapa wahujumu wameanza kuitoa mmoja baada ya mwingine baada ya Mwenyekitiwa Jumuia ya wazazi Kilimanjaro Thomas Ngawaiya kutamka kwamba atahama nchi kama Dr W.Slaa akishinda uraisi, hii inaashiria huyu jamaa ni fisadi, mhujumu, why aogope kushi nchini chini ya Chadema? ana lake jambo!