Mnyama simba kaua au kauwa?
Acha kauzibe kijana....umesema sheria eti sijui nini kuwa ukitaka kucheza EPL uwe katika fifa ranking za 70........tupe link au paste sheria hizo sio maneno ya vijiweni bar.....
Dogo ana future nzuri inatakiwa aandaliwe mapema,hili la rank hata kama unaenda kucheza league daraja la pili ni lazima au ni premier league tu
kana ka mzungu....sheria zingine haziwi applied pale......kuna wengi hawajachezea nchi zao lkn wanakipiga huko.....na hata hio 70 ranking hawapo......mfano Lua lua lomano.......
Wadau hii ni tetesi tu nadhani. Sheria za uhamiaji zinaweka wazi kwamba kibali cha foreign professional footballer kitatolewa endapo mchezaji anatokea kwenye nchi ambayo ni ya at least 70 kwenye FIFA ranking, kwa maana hiyo kama wewe u mtanzania hata uwe unakipiga kama Pele- visa hupati. Most of PL clubs watakachofanya kama kuna mchezaji mzuri kwenye nchi ambayo hai qualify ni kumsajili mchezaji huyo na kum loan out kwenye ligi nyingine ndogo za Ulaya kama Belgium au Swiss then after 3 year ndani ya EU wanagain hiyo qualification na ndipo wanawachukua.
Salama wadau. Vipi yeboyebo kashatawaza ubigwa au Toto wamegomaaaaa?