Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Akamuulize mohamed mwameja;na hussein masha
ushauri
kabla ya kuondoka ajifunze kuchuma machungwa ingawa kule atakutana na matunda itamsaidia kuona kama kazi ya kawaida na si utumwa
....aaaarrrgggh sweetbaby, Husseyn Marsha yeye kaja kutafuta maisha tu, habari ya mpira kesha sahau, au umemchanganya na Athumani China aliyekuwa kwenye majaribio Reading?
Mwingine Athumani Machupa, ambaye alishindwa majaribio hata na timu ya Hounslow Borough, (bongo ni timu kama ya tandika mabatini!)