Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
eneo la ngarnanyuki huko jimboni arumeru limeishangaza ccm kwa kitendo cha wakazi wake kugeuka ghafla na kuanza kuisupport chadema.
Wazee wa kimila huko ngarnanyuki wametishia kupanda fuso mpaka ikulu iwapo kura zitachakachuliwa.
Hili ni pigo jingine kwa ccm,ni kama vile umeme unapokatwa wakati mgonjwa yuko kwenye oksijeni.
Wazee wa kimila huko ngarnanyuki wametishia kupanda fuso mpaka ikulu iwapo kura zitachakachuliwa.
Hili ni pigo jingine kwa ccm,ni kama vile umeme unapokatwa wakati mgonjwa yuko kwenye oksijeni.