Tupeni list ya leo kwa timu zote
Soma post namba 36.
Tupeni list ya leo kwa timu zote
nyamaza kama huna updates.. mpaa sasa hivi simba anaongoza 1-0Fuatilia taarifa za habari wakati michezo!
<br />Hana issue huyo sunzu kabahatisha game bado!
<br />Hivi hamna tv ya tz inayorusha hii gemu?
kama unaongelea ushabiki sawa lakini kama ni mpira sunzu nimemtazama mechi mbili na mazoezini karibu wiki mbili jamaa anaujua mpira hata huyo kago ni noma ngaja aingie anapiga mashuti sana..Hana issue huyo sunzu kabahatisha game bado!
<br />TV gani inaonyesha mie nipo hapa Simba kapakatwa pub
<br /><br /><br />
<br /><br />
hakuna baba.! Mechi imeuzwa kwa kamillionaire wa bongo.