Yaani sijui tumerogwa na nani?tanzania kila kitu mpaka ugome..
Kumbe baba riz1 ana timu?filipo kumbe wewe timu ya baba riz1
mkuu mimi nafatilia kupitia radio 1..<br /><br />
<br /><br />
bado dk 5 mkuu,mliopo ground mwagen updates jamvini,me nafuatilia kwa cm make umeme umezimwa na hii ndo njia pekee ya mawasiliano
yule alikuwa yanga family sijui kwa sasa..Kumbe baba riz1 ana timu?
Sasa BigBon kanunua aonyeshe au? Sielewi!imenunuliwa na bigbon,sijui kama wataruhusu irushwe labda kwa sharti la kuto advert mpaka mpira uanze.otherwise yahya yupo humu atujuze kama star tv watarusha.
<br />mkuu mimi nafatilia kupitia radio 1..
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
washabiki wa simba utawajua tu! Tayari matumbo joto!
mpaka sasa hakuna alielemewa ingawa simba kakosa nafasi mbili kupitia okwi<br /><br />
<br /><br />
mashambuliz vipi hapo,na upepo ukoje,huku Tarime radio1 haikamati hata chembe
Nimesikia na tbc taifa nao wakitangaza, ila hawa tanesco sijui vipi!hv ni radio1 pekee ndo inarusha au