The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
- Thread starter
- #21
mlioko uwanjan jaman hta matokeo2
Kayuni hafai huwa anachuki zisizo na misingi we check hata Jerry Tegete kamamtoa kiana kwenye national team.Soka la bongo litabakia hapa lilipo vinginevyo wavue magamba yote ya TFFPoulsen aja amtezame boban alafu wakashauriana na kayuni kama anafaa au hafaai,kayuni anaiharibu tff na kumuweka poulsen pabaya kwa chuki zake zisizo na lazima ana wivu kama mtt wa kike
Matoke yapi wakati mechi saa 2 usiku..mlioko uwanjan jaman hta matokeo2
<br />Hivi nyie mnaoulizia matokeo mpo dunia gani na kweli mnafuatilia michezo au ? Mechi inachezwa usiku saa 2 na sasa bado ni jioni....<br />
<br />
Ila ni ukweli usiopingika kuwa TFF imejaa Yanga, yaani kuanzia mwenyekiti, Katibu na kamati kibao.... Wameona aibu issue ya Kago baada ya "kufokewa" na wakubwa. Hata mtoto mdogo hasingeweza kuja na upuuzi huo wakati wanajua mwaka jana tu Asamoah alicheza game hiyo, na pia muda wote huo wamekaa kimya hadi last minute. Kwa kuumbuka FIFA itatoa dole na kijana hatari atakipiga ktk ligi. Na leo mkitia timu (pumbaf...mnapokea hela halaf eti mnatishia nyau hamtii timu uwanjani....) lazima kijana awalize. Tumeshatimua wale mlioozoea kuwapa hela ili watufungishe, na yule beki leo atakaa bench maana tuna usajili mzuri !!<br />
<br />
Fuso leo atafungashwa tela mpaka ateme damu..... huyu mzee aliyerudisha umri nyuma leo Okwi anae...
<br />Matoke yapi wakati mechi saa 2 usiku..
Hivi nyie mnaoulizia matokeo mpo dunia gani na kweli mnafuatilia michezo au ? Mechi inachezwa usiku saa 2 na sasa bado ni jioni....
Matokeo!<br /><br />
<br /><br />
mechi ya kwanza ya timu B,imeanza saa 10:30 jioni
Poulsen aja amtezame boban alafu wakashauriana na kayuni kama anafaa au hafaai,kayuni anaiharibu tff na kumuweka poulsen pabaya kwa chuki zake zisizo na lazima ana wivu kama mtt wa kike
Naomba kujua kama mechi hii itaonyeshwa ktk TV hapa tz!
<br />Bora hata wasioneshe, umeme wenyewe leo ck ya tatu hatujauona, jenereta hazina mafuta sasa hata TV zikionesha ni sawa na bure. Kwanza nashangaa hata hiyo mechi kuchezwa uck..labda watatumia ambulace kama siku ileee
<br />Vikosi vitakuwa kama ifuatavyo:<font color="#ff0000"> Simba: Kaseja, Said Cholo, Amir Maftah, Juma Nyoso, Victor Costa, Jerry Santo, Salum Machaku, Patrick Mafisango, Felix Sunzu, Haruna Moshi na Emmanuel Okwi.</font><br />
Yanga: Kado, Nsajigwa, Joshua, Chacha Marwa, Nadir Haroub, Juma Seif, Godfrey Taita, Haruna Niyonzima, Keneth Asamoah, Tegete na Kigi Makasi.