The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
wadau weken updates za hili game,make watu matumbo joto tayari!
<br />si wa mikoani vp itakuwa live kwenye luninga?
<br />Poulsen aja amtezame boban alafu wakashauriana na kayuni kama anafaa au hafaai,kayuni anaiharibu tff na kumuweka poulsen pabaya kwa chuki zake zisizo na lazima ana wivu kama mtt wa kike
Sawa Sheikh Yahaya JR..lakini kumbuka mpira ni dakika 90 hata Yahaya mwenyewe alisha shemka mechi ya simba na Azam....Yanga2 simba1.magoli mwape na tegeta.simba ni ulimboka.
nyie mnamuongelea yule marehemu auSawa Sheikh Yahaya JR..lakini kumbuka mpira ni dakika 90 hata Yahaya mwenyewe alisha shemka mechi ya simba na Azam....
ahsante! Yebo yebo wanachönga sanakwani mpira huchezwa uwanjani au mdomoni?Km huchezwa mdomoni hao wauza madafu wa jangwani washa'shinda tayari.