Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
jamaa kawa pimbi..
itafahamika rmx jamaa kasema "haiuzi hiphop wala bongo fleva,mziki wetu umegota"huyu dogo enzi hizo anaanza rap nilikuwa namfagilia sana. Anajua kwenda na biti. Mistari yake tata ila mizuri. Kila niliposikia wimbo wake niliacha ninachofanya na kusikiliza mashairi. Alijua kuyatunga na aliijua hiphop. Mara akaanza kubadilika na kuanza kubana pua. Mara akaja na hellow my love. Akabamba kinamna. Akanogewa akabana tena pua kwenye wimbo mwingine.
-akatoka tena na maunda- nakupenda we dada. Walichoimba sijakielewa hadi leo. Kelele tu.
- wakaja na kwaito. Kaimba humo alimradi tu.
Ney wa mitego soko la muziki linakupotosha. Kuimba waachie kina barnaba. Sauti yako si ya kuimba bali kurap. Mbona fid kadumu? We hardcore vipi? Unajifanya mtoto wa mama hupendezei. Go back to your roots, boy.
kabla ya hii topic nilikuwa simjui ney wa mitego, nimeenda youtube na kusikiliza wimbo wa itafahamika, ni balaa, imetulia, nausikiliza kila dakika, acha nijaribu na hizo nyimbo zake nyengine nione amevurugaje.
itafahamika rmx jamaa kasema "haiuzi hiphop wala bongo fleva,mziki wetu umegota"
bado ana muda wa kuongokaAf kuna kipindi flani alisema ataenda kitu ka Germany kufanya porn movie, hy issue sijui ndo imeishia wapi...