Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
huyu dogo enzi hizo anaanza rap nilikuwa namfagilia sana. Anajua kwenda na biti. Mistari yake tata ila mizuri. Kila niliposikia wimbo wake niliacha ninachofanya na kusikiliza mashairi. Alijua kuyatunga na aliijua hiphop. Mara akaanza kubadilika na kuanza kubana pua. Mara akaja na hellow my love. Akabamba kinamna. Akanogewa akabana tena pua kwenye wimbo mwingine.
-akatoka tena na maunda- nakupenda we dada. Walichoimba sijakielewa hadi leo. Kelele tu.
- wakaja na kwaito. Kaimba humo alimradi tu.
Ney wa mitego soko la muziki linakupotosha. Kuimba waachie kina barnaba. Sauti yako si ya kuimba bali kurap. Mbona fid kadumu? We hardcore vipi? Unajifanya mtoto wa mama hupendezei. Go back to your roots, boy.
-akatoka tena na maunda- nakupenda we dada. Walichoimba sijakielewa hadi leo. Kelele tu.
- wakaja na kwaito. Kaimba humo alimradi tu.
Ney wa mitego soko la muziki linakupotosha. Kuimba waachie kina barnaba. Sauti yako si ya kuimba bali kurap. Mbona fid kadumu? We hardcore vipi? Unajifanya mtoto wa mama hupendezei. Go back to your roots, boy.