Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,916
- 7,519
tunasomana mkuu kumbe tupo jirani na hizo nyumba...Mie ni jirani ya hizo apartments, kwanza kwa location zilipo hawezi kuwa alinunua hata kama ni milioni mia tano, maana kiwanja tu kwa mbezi ya whitesands kinavuka hiyo bei. Halafu sijui kwa nini vijana wanajisahau dah atarudi kupiga picha za harusi mpaka za msiba wa mademu zake wote na iwe fundisho kwa wengine mnaenda kuuza sura mnajidhalilisha then mnapata hela bado mnakaa kudhalilika , why??