juve pauly
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 506
- 432
Golden chance never come twice!Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
Golden chance never come twice!Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
Nyumba unanunua ya kawaida tuNingelikuwa mm ningechukua Tzs 350mil nafungua Fixed Deposit kila mwezi nakula interest
Mi 150 najenga nyumba na naanzisha biashara
daahh!We acha tu mkuu yule kwa Wema hata akienda Mo lazima akalishwe
Huyo mwarabu juzi ameonekana China akiwa na Wema ambaye ni x shem wake.Alizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
Umemwekea ww nnPesa za idris mbona zpo benki
sio kununua kulipia ushuru ilimshinda,gari ilihanunuliwa na wazee wa mujini bila kodi ikakamatwa.Huyu alimbiwa amnunulie wema Range Rover Evoque aka kataaa sema Kachunwa sana daah maisha haya
Si ndio maana anajiita true boyIla swali na Ney lina ka ukweli
Wema kazitwanga zoteSi ndio maana anajiita true boy
Tetesi Ni kuwa jamaa Hana hiyana na mlango wa uani. Ndio maana mwarabu atakuwa kampaAlizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
Ubaya ni kuwa bahati haiji mara mbili.Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
nina ubuyu wa kutosha kuhusiana na hizi nyumba kwa maana zipo kama apartments pale round about ya kuelekea girrafe..ila ngoja niweke hakiba ya manenosijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
kuna kaukweli unaaza kukabaini..Alizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi