Nchi gani wamefanikiwa kumpa mkopo kila mwanafunzi wa chuo kikuu.
Nchi gani wamefanikiwa kumpa mkopo kila mwanafunzi wa chuo kikuu.
Sweden, tena wanasoma bure co kwa mikopo
Sweden, tena wanasoma bure co kwa mikopo
kumbukumbu zangu naamin ni sahii na ninakumbuka hlo kutokea Tanzania kuanzia wakati wa uhuru hadi late 1980's*
unataka kuifananisha Sweden na Tanzania!. Hapa nazungumzia third world country.
Acheni sheria ichukue mkondo wake. Acheni kuchanganya sheria na siasa.
Polisi wana kosa gani kuwakamata wahalifu. Wanaoandamana hovyo bila sababu ya msingi. Polisi wana wajibu wa kulinda usalama wa raia. Lazma iwashughulikie wote wanaojaribu kuhatarisha usalama wa watu wengine na nchi kwa ujumla.
Polisi hawajawavamia ktk vyumba vyao na kuwakamata. Walikuwa wanafanya uhalifu.
Nyie tulieni msome, acheni kutumiwa na wanasiasa uchwara.
Nchi gani wamefanikiwa kumpa mkopo kila mwanafunzi wa chuo kikuu.
tena mpaka Phd ni bure isipokuwa tu kama unasoma PhD unakuwa kama umeajiriwa kwa kile kipindi unasoma hivyo stipend (ambayo kwao ni mshahara ) unakatwa PAYE
Nchi gani wamefanikiwa kumpa mkopo kila mwanafunzi wa chuo kikuu.
Nchi gani wamefanikiwa kumpa mkopo kila mwanafunzi wa chuo kikuu.
unataka kuifananisha Sweden na Tanzania!. Hapa nazungumzia third world country.
Wewe kweli ni Mzee