zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Ni mwezi sasa nikiwa Lupango,Isanga jana nimerudi nimepgwa butwaa my wife ana kilambo cha udongo wa pemba,limao za kutosha.chini ya Meza kuna kifuu cha kutemea mate..
Hiyo kitu sijui ni yangu au wajanja wamempa mzigo....
Hapo kwenye red ni problem! Embu check na Erickb52!
Hapo kwenye red ni problem! Embu check na Erickb52!
Jf bana!
Ugonjwa mbaya sn huo., unaitwa schitosomiasis, mwahishe hospital aanze na kipimo kinaitwa ultra-sound, then kifuate kipimo kinachoitwa speculum.Ni mwezi sasa nikiwa Lupango,Isanga jana nimerudi nimepgwa butwaa my wife ana kilambo cha udongo wa pemba,limao za kutosha.chini ya Meza kuna kifuu cha kutemea mate..
Hiyo kitu sijui ni yangu au wajanja wamempa mzigo....
Mdudu gani huyo..
Erick huyu aliyekamatwa na kuwekwa ndani na jimama hapa mwanza?
Ugonjwa mbaya sn huo., unaitwa schitosomiasis, mwahishe hospital aanze na kipimo kinaitwa ultra-sound, then kifuate kipimo kinachoitwa speculum.
Ugonjwa mbaya sn huo., unaitwa schitosomiasis, mwahishe hospital aanze na kipimo kinaitwa ultra-sound, then kifuate kipimo kinachoitwa speculum.
Unajitafutia matatizo eeeh.
sitafuti matatizo mkuu, wanyakyusa wanasema TRUTH WILL SET YOU FREE!! pamoja saaana tuendelee kushirikiana na kushikiriana teh teh
Wana science wanasema ukikaa karibu na mwanamke mjamzito,kwa muda mrefu yule mtoto wa ndani anabadilika na kufanana na aliekaribu yake...