Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Habari wakuu
Katika taarifa ya habari ya clouds fm jioni hii saa 12 wamesema kuwa matokeo yametangazwa na asilimia za ufaulu zimepanda kwa asilimia 8.8 ukilinganisha na mwaka jana.Kawambwa amedai kuwa wasichana ndiyo waliofanya vizuri kuliko wavulana na kudai kuwa alama za juu ni 234 chini ya 250
My take mbona kuna thread zilikuja hapa na kudai matokeo ni mabaya sana sasa mbona Kawambwa anadai yameongezeka kwa asilimia 8.8?.
Nawasilisha
Katika taarifa ya habari ya clouds fm jioni hii saa 12 wamesema kuwa matokeo yametangazwa na asilimia za ufaulu zimepanda kwa asilimia 8.8 ukilinganisha na mwaka jana.Kawambwa amedai kuwa wasichana ndiyo waliofanya vizuri kuliko wavulana na kudai kuwa alama za juu ni 234 chini ya 250
My take mbona kuna thread zilikuja hapa na kudai matokeo ni mabaya sana sasa mbona Kawambwa anadai yameongezeka kwa asilimia 8.8?.
Nawasilisha