Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
nini? jana tumedhalilishwa sana
we waache,mi nawaangalia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nini? jana tumedhalilishwa sana
Breaking news: Bishanga hatafanya pre-besdei kwa sababu amepelekwa hivi punde mahakamani kwa kesi ya madai. Anadaiwa na .......................mamilioni ya dola aliyokopa!
unaota?
nalala
siamini kama bishanga amekuwa mpole kiasi hiki kufikia mpaka kuporwa mke!
Wadanganye wa kule jukwaa la utambulisho!
In accordance with specific data currently , behind the fabric huyu Mzee kusakua hoi financially!
Yuko hoi bunkrupt! Meng'emeng'e ! Juu ya stones!
Hana kitu!
Mademu kibao washamkimbia! Kabakiza luba tu!
Nway ze Katibu lon' time no see you!
Where too now?
hata Judgement naye anachonga juu yetu,wivu tu unamsumbua,mwache afe na kijiba cha roho,kudadadadaddeki.kuna ka shughuli fulani kalinikipu busy.lakini me nipo here here without noise watu wanachonga kwa baby wangu hajafulia wala nini
una ukoo na mzee na Yusuph??nilijua mtachonga sana juu yangu lakini jueni maji ya moto hayaunguzi nyumba!
una ukoo na mzee na Yusuph??
Bepari huyu huyu?
dar hadi kwenye li dacha langu urussi kwenye pwani angavu baltic sea ni kwa private lear jet langu,kule mambo ni mi caviar kwa mi brandy ya ukweli mi VVVVSOP.lolest! wacha ningoje muongozo kutoka kwa hubby Asprin na wake wenzangu BADILI TABIA na Yummy! nijue tunatumia usafiri gani kufika Russia! lol!
Amerudi lini toka kwa Theo Pistol!?
una ukoo na mzee na Yusuph??
Ndo walewale, dugu moya!
hivi mkeo bado mko nae au keshakupiga chini?
nilijua mtachonga sana juu yangu lakini jueni maji ya moto hayaunguzi nyumba!