The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Tunatangaza kuwepo na pre-birthday party ya tajiri la kihaya kuanzia leo tarehe mosi mwezi wa nane .angalizo hatuhitaji kamati wahudumu wapo wa kutosha.itakuwa inafanyikia Kilimanjaro hotel hadi siku yenyewe ambayo itafanyikia RUSSIA usafiri utakuwepo wa pipa kwa wale wa mikoani.hatuhitaji vijizawadi vyenu chezeiya bepari la kihaya:baby: